Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Wanakutumia tu. Mapenzi ya kweli yapo kwa walio vyuo vingine.
 
Waliosoma udsm ni madomo zege kwa hiyo wanahonga ile mbaya.
Na mademu wengi si wanataka pesa.
 
Nimekaa nimetafakari hapa,nikaona ebu ngoja niwaulize wana MMU!Maana hali ndo ilivyo..jamaa wa vyuo vingine wanachezea vibuti mpaka aibu yani.

mi nlikuwa sijui kama ulisoma udsm thanks kwa kunijulisha mkuu
 
Tuna safari ndefu sana kama taifa kama akili tulizonazo ndio hizi za akina mtoa mada

Halafu unakuta mwenyewe amesoma bachelor of science in drinking water basi kuwepo tu pale mlimani baaasi

Pathetic
 
sio kweli mkuu...mabint wanapenda watu wenye mikono mepesi kweny m.pesa,tigo pesa, atm machines n.k

Habari ndo hii...ukimtongoza asubuhi jioni anaomba hela!utackia"baby naomba efu salasini nna shida" yani ukiwa huna mkono wa birika utawagegeda mpk nguvu za kiume zikuishe!
 
Huku ni kuchafuliana chuo huku.
Jamani msimsikilize huyu anaonyesha ata UDSM hasomi itakua anasoma UCC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…