Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

Hivi ni kwanini mabinti wanapenda sana wanaume waliosoma UDSM?

JF ikiendelea hv nadhan ndani ya mwaka ntakuwa nmeshafuta account yangu ya JF !
uwezi kufuta anza kutoka taratibu anza kuingia majukwaa ya siasa baadae intelligence baadae complains and congrats mwisho utatoka tu


ila kuendelea kuingia Mmu nakupa more 5 yrs to come😂😂😂😂
 
Pole sana kijana kama una mtazamo huo,,,wengi tumesoma hapo lkn hayuna mtazamo kama huo.. wewe soma tu ukishamaliza ondoka zako,,,suala la mabinti na chuo ulichosoma havihusiani,,,,acha kukipaka matope chuo chetu wewe!!!
 
Dah! ndo mana mnakuja huku ofcn hamna uwezo wa kufanya kazi kabisa,kweni mtoa mada hujawahi kujiuliza pia mademu wengi wanawapenda hata madereva?au hujawahi kufanyia kazi hilo?amini usiamini madereva wa mashirika na taxi driver mjini wanawanawake wazur na wengi kwa kadrii ya mapepo yao yanavyowaongoza na mlioenda huko UDSM hamfati hata chembe.soma kwa bidii ndugu kuliko kuongea mambo ya aibu aibu mbele za watu!
 
Kweli elimu imeshuka
Ww unaweza kuwa ni mfanya usafi hapo UDSM cdhan kma kuna msomi anayewaza ujinga ka ww
 
mleta maada umejiabisha nathubutu kusema wewe ni kilaza
 
wanapenda UDSM wa sasa sababu ndio zao la vijana popompo! (wasiojielewa) katika taifa hili. wa mitaani wajanja!
 
Uwe mpiga debe as long as una hela.....wajinga hamjanielewa
 
Wewe kichwa maji kweli. Hivi dogo huna habari kuwa hata makonda wa daladala wanapendwa na mabinti? Huwajui mabinti vizuri wewe, utoto unakusumbua, ukikua utaacha.
 
Back
Top Bottom