Ajabu Marekani ukienda kwenye Interview hawaulizi vyeti kabisa wala copy za vyeti haziko kokote kazini.
Nilipokwenda kwenye interview yangu ya kwanza nilikwenda na vyeti vyangu vya Tanzania nikajua wataka kuangalia na kuhakiki wala hawakuvitaka na nikapata kazi na kila nilipokua naenda ni hivyo hivyo na nimeuliza marafiki zangu wengine waliosomea huku wakasema na wao hakuna mtu anaviangalia wala kuvihitaji
Maana hata ukidanganya kwenye resume/cv kuhusu education hawatajua na kuna wahindi wengi tuu nawafahamu wamepamba kidogo resume zao kwenye education lakini wanafanya kazi tuu kwa miaka kibao ?
Nilipokwenda kwenye interview yangu ya kwanza nilikwenda na vyeti vyangu vya Tanzania nikajua wataka kuangalia na kuhakiki wala hawakuvitaka na nikapata kazi na kila nilipokua naenda ni hivyo hivyo na nimeuliza marafiki zangu wengine waliosomea huku wakasema na wao hakuna mtu anaviangalia wala kuvihitaji
Maana hata ukidanganya kwenye resume/cv kuhusu education hawatajua na kuna wahindi wengi tuu nawafahamu wamepamba kidogo resume zao kwenye education lakini wanafanya kazi tuu kwa miaka kibao ?