Hivi ni kwanini Mo dewji katambulishwa badala ya mwenyekiti wa Simba sc Mangungu?

Wajuvi wa majambo mtujuze, kwanini Alikiba avae nguo ya njano kwenye onyesho la Jana, na kwa Nini hakuimba nyimbo pendwa ya - Simba NI mnyama.
 
Wajuvi wa majambo mtujuze, kwanini Alikiba avae nguo ya njano kwenye onyesho la Jana, na kwa Nini hakuimba nyimbo pendwa ya - Simba NI mnyama.
Alipewa dakika 2 za kupaform na aliambiwa na CAF kuwa aimbe nyimbo ya sumu.
 
Wamekosea mpelekeni Harsi akatambulishwe yeye,haya fanyeni fasta
 
Wamekosea mpelekeni Harsi akatambulishwe yeye,haya fanyeni fasta
MANGUNGU NA TRY AGAIN NDIYO WALISTAHILI KUWA PALE KUZUNGUMZA NA RASI WA FIFA /CAF SIYO MUDI

NYINYI MNALETA USHABIKI MAANDAZI TU.

MO DEWJ NI NAN??

SIMBA DAY MBONA ALIPEWA MAKALA ASOME TU HUKU MANGUNGU NA TRY AGAIN WAPO VITI VYA JUU WAKILA UPEPO NA MH RAIS

TIMU HII NI YA MO.
 
Mo ndiyo mwenye timu, wanachama na mwenyekiti wao ni kinadharia zaidi .

Barbara naye ameoneka pembeni ya Wenger wakiteta
WEWE UPO SAHIHI MKUU KWA MAJIBU YAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…