Hivi ni kwanini TANESCO wanashindwa kutoa ratiba ya mgao wa umeme?

Hivi ni kwanini TANESCO wanashindwa kutoa ratiba ya mgao wa umeme?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Karibu nchi nzima, maeneo tofauti tofauti yanakatika katika umeme kila siku hususani kwa siku za karibuni pasipo kutolewa taarifa na Tanesco, na jambo hilo linaathiri sana maisha ya watu na shughuli zao. Sote tunajua Tanzania tupo kwenye mgawo wa umeme.

Sasa kuna ugumu gani kwa TANESCO kutoa taarifa rasmi na ratiba ya mgao wa umeme kila siku ili wananchi wajipange namna ya kuishi na huo mgao wa umeme?

Inaumiza mnoo mtu anaamka asubuhi na mapema kwenda eneo lake la kazi, halafu anafika kwenye eneo lake la kazi na kukuta umeme hakuna na hajui umeme utarejea saa ngapi.
 
Wahusika wako busy kumtukana Magufuli, hawana muda tena wa kushugulikia matatizo ya Wananchi, kama hata wana huo uwezo, lkn Magufuli hakukata umeme kihivyo!

Shetani lazima atukanwe muda wote boss.
 
Ratiba haitokewi kwasabb hakuna mgao wa umeme
Kinachosababisha kukatika kwa umeme kwa muda mrefu karibu kila siku ni nini?
Hatuna haki ya kujua wakati tunalipia umeme tena kabla ya kutumia?!
 
Kinachosababisha kukatika kwa umeme kwa muda mrefu karibu kila siku ni nini?
Ni ujinga na ushamba wa jiwe kulazimisha mitambo ya kufua ememe ifanye kazi mfululizo bila ya kufanyiwa matengenezo. Matokeo yake mitambo imechakaa.
 
Ishu ni unaishi wap?? Huko Oysterbay,Masaki wanapewa taarifa kabsa.. Sisi tunaokaa mbagala unashtuka tu washakata[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom