Hivi ni kwanini tunasema 'juu mbinguni' na 'chini motoni'?!

Hivi ni kwanini tunasema 'juu mbinguni' na 'chini motoni'?!

Maisha ya binadamu yametawaliwa na hisia kuliko ufahamu kwa kiwango kikubwa. Na kuhusu uwepo wa juu kama "mbinguni" na chini kama "motoni" bado ni nadharia iliyojikita katika uzio wa DINI, ambayo haiwapi nafasi waamini wa DINI husika kuweza kuchanganua yaliyomo vitabuni.
Hapa utakuwa umewagusa gt.
Na kiukweli kubaadhi ya imani hazitoi hata uhuru wa kuyawaza haya na endapo utajifanya kutafakari basi yanakukuta yaliyowakuta wachora vibonzo wa Kifaransa.

 
Huko motoni inaenda roho au mwili, kama ni roho je roho inangozi? na kama haina ngozi huo moto unakuunguzaje?!

Anhaaa
Inaenda roho ambayo haionekani na mbinguni na huko jehanamu kinachoenda ni roho.. Na sio mwili..na kinachoounguzwa ni roho na kinachopata raha mbinguni ni roho

So long as roho haionekani kwa macho yetu ya nyama hata jehanamu na mbinguni vivyo hivyo
 
Anhaaa
Inaenda roho ambayo haionekani na mbinguni na huko jehanamu kinachoenda ni roho.. Na sio mwili..na kinachoounguzwa ni roho na kinachopata raha mbinguni ni roho

So long as roho haionekani kwa macho yetu ya nyama hata jehanamu na mbinguni vivyo hivyo
Hiyo roho inaendaga na mdomo na meno, otherwise ile kauli ya 'kulia na kusaga meno' inatoka wapi?!
 
Juu na chini, zinatofautiana kutokana na maumbo. Umbo la mviringo juu na chini yako inasomeka pale uliposimama kwa muda huyo siyo kwa kufananisha na mwingine kasimama wapi kwa muda upi.
Naaum kwa bin adam juu ni kichwani; Na chini ni kwenye mapumbu (kwa mwanaume) au mlango wa uzazi ''nimesahu inaitwaje'' (kwa mwanamke).
 
Naaum kwa bin adam juu ni kichwani; Na chini ni kwenye mapumbu (kwa mwanaume) au mlango wa uzazi ''nimesahu inaitwaje'' (kwa mwanamke).

htteeee htteeeee htteee mkorofi sana ww

.made in mby city.
 
Dini ndio muongozo aliotuwekea Mwenyezi Mungu wanadamu ili tuishi muongozo na sio kila mtu aishi anavyotaka yeye. We unadhani bila dini ingewaje si ingekuwa ni kuchinjana kihohela tu ukitofautiana na mtu.? Japo yapo lakini bila dini jaribu kufikiria mwenyewe. Alafu sio dini zinafundisha motoni ni chini hayo ni mawazo ya watu binafsi hakuna anayejua zaidi ya aliyeumba mwenyewe na labda wale aliotaka mwenyewe wajue ambao ni baadhi ya malaika. Kuhusu mbinguni huko ni kwenye utwala wake ambapo dini ya kiislam Mwenyezi Mungu anasema kaumba mbingu saba pasi na nguzo. Na alimpandisha nabii issa (Yesu) mbigu ya pili. Hapo ina maana huwezi kupanda chini hivyo Yesu alipaa juu Mbiguni.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Inaaminika mbinguni sio duniani hapa ni outer space ambapo kwenda you must go up...

Na jehanam inaaminika ni kwenye inner core of the planet ambapo kwenda you must go down..

Nani huyo anaeamini jehanam ni kwenye core? hahaha!
Hell is on earth! kusema shetani anaishi kwenye core ni uzushi, anaishi hapahapa duniani, hapa ndipo chini penyewe, mbinguni juu, wanatuangalia kutoka juu, na hata the second coming yenyewe inasema hatokanyaga chini, chini ya ardhi hii, hapa ndo chini, na kama ni kuchomwa basi dunia ndo itakayoangamizwa hamna chini kwenye core, kule ni just a hot core linaloweka hii electromagnetic field inayotukinga from things kama harmful ultraviolet rays...
 
Nikijadili sana hili nitakufuru bure...naomba linipite tuu.
 
Lol, naona uko so wrong aisee, duh yani niwe natumia id sawa na huyo jamaa, aisee hahaha hivi umeshinwa kweli hata kuangalia post ambazo hua tunatuma, jamaa yupo sana kwenye mapenzi mimi nipo kwenye elimu na technolgy na jf doctor, we unaona tunaweza kua sawa kweli? au sabab moja kajibu chini ya mwenzake? LoL.. fanya homework yako upya
 
Mambo ya mbiguni kuwa juu na motoni kuwa chini yalitokana na Greek Pantheon

Zeus mfalme wa muingu alikuwa anaishi Mount Olympus uliokuwa juu na Hades mungu wa ubaya alikuwa anaishia chini/kuzimu

ILa kwa miaka ya karibuni kuna concept mpya kuhusu Ancient Extraterrestials kuja kutembelea dunia na vifaa vyao kutoka juu

Vedas texts za India zinaongelea vifaa vya moto kutoka juu ,vinaitwa "Vimanas".Sasa binadamu wa enzi hizo wakajenga tafsiri ya mbinguni(maskani ya miungu yao) kuwa juu kutokana na wao kutoka huko
 
Back
Top Bottom