Hapa utakuwa umewagusa gt.Maisha ya binadamu yametawaliwa na hisia kuliko ufahamu kwa kiwango kikubwa. Na kuhusu uwepo wa juu kama "mbinguni" na chini kama "motoni" bado ni nadharia iliyojikita katika uzio wa DINI, ambayo haiwapi nafasi waamini wa DINI husika kuweza kuchanganua yaliyomo vitabuni.
Kuna dini ambazo hazitoi hizi fursa mkuu?
Huko motoni inaenda roho au mwili, kama ni roho je roho inangozi? na kama haina ngozi huo moto unakuunguzaje?!
sasa unaniuliza kumbe na wewe hujui chini kunapatikana wapi..
Hiyo roho inaendaga na mdomo na meno, otherwise ile kauli ya 'kulia na kusaga meno' inatoka wapi?!Anhaaa
Inaenda roho ambayo haionekani na mbinguni na huko jehanamu kinachoenda ni roho.. Na sio mwili..na kinachoounguzwa ni roho na kinachopata raha mbinguni ni roho
So long as roho haionekani kwa macho yetu ya nyama hata jehanamu na mbinguni vivyo hivyo
Naaum kwa bin adam juu ni kichwani; Na chini ni kwenye mapumbu (kwa mwanaume) au mlango wa uzazi ''nimesahu inaitwaje'' (kwa mwanamke).Juu na chini, zinatofautiana kutokana na maumbo. Umbo la mviringo juu na chini yako inasomeka pale uliposimama kwa muda huyo siyo kwa kufananisha na mwingine kasimama wapi kwa muda upi.
Naaum kwa bin adam juu ni kichwani; Na chini ni kwenye mapumbu (kwa mwanaume) au mlango wa uzazi ''nimesahu inaitwaje'' (kwa mwanamke).
Inaaminika mbinguni sio duniani hapa ni outer space ambapo kwenda you must go up...
Na jehanam inaaminika ni kwenye inner core of the planet ambapo kwenda you must go down..
Lol, naona uko so wrong aisee, duh yani niwe natumia id sawa na huyo jamaa, aisee hahaha hivi umeshinwa kweli hata kuangalia post ambazo hua tunatuma, jamaa yupo sana kwenye mapenzi mimi nipo kwenye elimu na technolgy na jf doctor, we unaona tunaweza kua sawa kweli? au sabab moja kajibu chini ya mwenzake? LoL.. fanya homework yako upyai gotchu.. KakaJambazi = Dreson4