Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?


Mhhh ya wapi hii. kwa hiyo sio mnaanza safari pamoja?
 

Aiseee!!!
 
Thanks Uporoto for the advice.... sasa nashindwa niamue lipi......TF????....:decision::decision:......Kimey:decision:.....:confused2::confused2: ..........Bora nibaki home...:A S 13::A S 13::A S 13:!
You say thanx for the advice then you don't know what to do? Hebu msome TF hapa chini then Fanya maamuzi sahihi!!
Nimesikia Kimey amekamatwa na lita kumi za gongo ngoja nikamtafute kwenye vituo vya polisi
 
Single ni ileile jitahidini mtoe album. Meaning mapenzi ni sanaa na sanaa ni ubunifu so kama hamuwezi kutunga verse mpya single inachuja! Jitahidini kutoa album ili nyimbo zisichuje!

And vice versa is true
 

Asante kwa kuwa Mkweli
 
You say thanx for the advice then you don't know what to do? Hebu msome TF hapa chini then Fanya maamuzi sahihi!!
Originally Posted by The Finest
Nimesikia Kimey amekamatwa na lita kumi za gongo ngoja nikamtafute kwenye vituo vya polisi

Kama haya anayosema TF ya kweli,.... I am sorry Kimey, :A S 13:....:A S 13:
 
Let me think Uporoto....that is why nimeona nibaki home....! TF, kama vile kaka yangu.......:confused2:, Kimey bado sijamwelewa......:confused2:!

Kuna mambo amesema Kyabu....., naogopa isje ikawa Kimey ana mpango kama huo...:A S 13::A S 13:
Sasa tatizo nini Kimey anakupeleka public place sijasoma anakupeleka pabaya na mkishindwana si unachukua taxi ? This may be your chance to meet Mr. Right dont thow it away.
 
Originally Posted by The Finest
Nimesikia Kimey amekamatwa na lita kumi za gongo ngoja nikamtafute kwenye vituo vya polisi

Kama haya anayosema TF ya kweli,.... I am sorry Kimey, :A S 13:....:A S 13:
Kimey mtu wa kaunta sasa kama gongo linauzwa bar he is guilty lakini mkataa pazuri pabaya panamwita haya we nenda kwa TF sitaki malalamiko baadaye.
 
Kimey mtu wa kaunta sasa kama gongo linauzwa bar he is guilty lakini mkataa pazuri pabaya panamwita haya we nenda kwa TF sitaki malalamiko baadaye.

Usijali Uporoto....you have been so kind to me, na naona unanitakia mema; I will re-consider my decision.... pata kwanza hii hapa:
The Following User Says Thank You to uporoto01 For This Useful Post:

Keren_Happuch (Today)​
 
Keren nakujali and i want the best for u Kimey na Uporoto wote nawajua hao waliishawahi kunikaba na kuninyang'anya simu l.o.l
 
Let me think Uporoto....that is why nimeona nibaki home....! TF, kama vile kaka yangu.......:confused2:, Kimey bado sijamwelewa......:confused2:!

Kuna mambo amesema Kyabu....., naogopa isje ikawa Kimey ana mpango kama huo...:A S 13::A S 13:
Hahaha Keren bana why are u underating me? Yaani nikupeleke counter ya juu then twende chobingo halafu nione maungo yako then nije kusimulia? Hapana bana me am Getle. Lol
 
Kimey mtu wa kaunta sasa kama gongo linauzwa bar he is guilty lakini mkataa pazuri pabaya panamwita haya we nenda kwa TF sitaki malalamiko baadaye.

Keren nakujali and i want the best for u Kimey na Uporoto wote nawajua hao waliishawahi kunikaba na kuninyang'anya simu l.o.l

:confused2::confused2::confused2::confused2:...............
 
Hahaha Keren bana why are u underating me? Yaani nikupeleke counter ya juu then twende chobingo halafu nione maungo yako then nije kusimulia? Hapana bana me am Getle. Lol

Sorry Kimey........is just bcos i am ......:confused2:!
 
Halafu mimi sijasema nakutaka so nakupa independent advice,halafu TF anavodai tulimpora simu ana Siemens C 25(twanga pepeta) hiyo hata kibaka akikukuta nayo anakupiga kwa kumdhalilisha.
 
lol! hii mbinu ni ya kimafia zaidi Mwana jamii one but inaweza ku work out hiyo ndoa,halafu sio wanaume tu hata wanawake nao wanahusika na hiyo lawama nasio mambo ya kitanda tu mambo mengi huwa yana pungua au kuisha baada ya kuoana.Kuelezana ukweli nayo ni nzuri kama unawashwa mkono sema ukunwe mkono sio unajikuna mgongoni.:rain:
 
Ww mama ww cdhani kama maneno yako yanaukweli kwani nina mwaka wa nne kwe ndoa yangu na nnatembea mwendo mudundo,
 
Halafu staili hiyohiyo kila siku....lazima hamu itapungua.
..Wanawake walio kwenye ndoa kuna baadhi ya style ukitaka kuzitumia utasikia ah! mi sitaki hivyo kisa nini au ndio unavyopewa na small house yako?? Pia wakishazaa wanawake huamishia mapenzi kwa watoto na kukuacha baba kama hakujui.
 
Nadhani tatizo ni kwa wake zetu,akishapata jiko tu basi,kamaliza,ndo maana hata wanaome wengine wanaishia kwa housegirl wao.
 

Hakika umenena,watoto hawajui hiyo.
 

Hapo kwenye nyekundu, mbona hujaolewa na wayajua hayo ya uzembe wa waume walioooa??????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…