Hivi ni kwanini wanaume wanakuwa waoga sana wanapofikia muda wa kwenda kutambulishwa?

Hivi ni kwanini wanaume wanakuwa waoga sana wanapofikia muda wa kwenda kutambulishwa?

Tatizo mtu anaweza kufika ukweni akajeuzwa mtaji, mara shuka la mjomba, ngombe, trekta,mbuzi sita, baiskeli ya babu, bajaji ya kaka mtu, kitenge, blanketi, pombe, pesa cash.
Nani anataka majukumu hayo,
Bora tuishi hivyohivyo tukutane na hao wazazi wake kwenye misiba tuu,tena siku ya kuzika maana ndo huwa haina muda wa story za kizushi.

kwahyo m2 wangu unataka kuniambia unaogopa kutambulishwa kisa utatangaziwa mahari au shda za wakwe zako kuwa zako sasa utaish vp bas huyo unaish nae haumpend
 
kwahyo m2 wangu unataka kuniambia unaogopa kutambulishwa kisa utatangaziwa mahari au shda za wakwe zako kuwa zako sasa utaish vp bas huyo unaish nae haumpend

Kwani kutambulishwa ni lazima???
 
Binafsi sikubaliani na wazo kwamba unakuwa hujafanya maamuzi. Niliwahi kwenda kwenda kujitambulisha , na kadri nilivyokaribia ukweni ndivyo confidence ilivyokuwa inapungua . Naweza kuchukulia kama 'panic' fulani hivi.
Si swala la kuwa na mahusiano na mtu mwingine ila unapofikiria juu ya maamuzi mazito unayoyachukua...ndipo unapopata woga.

Wangapi wameenda kujitambulisha na hata kutoa mahali, alafu wakasepa?
Uwoga ni nature tu ya wanaume wakati wa kujitambulisha na wala si swala la kuombwa mahari kubwa nk
 
kwel mfano umekaa nae miaka 5 na unamtoto kwel unakuwa bado huja amua kwel
hiv wewe miaka mitano yote hiyo bado tu hujamtambulisha? ina maana hata ulipozaa mtoto ukumpeleka baba wa mtoto wazazi wamjue? unafanya makosa makubwa sana maana hapo sio tu utambulisho wa kuoa inabidi umtambulishe mzazi mwenzio kwa wazazi wako hata kama hamna mpango wa kuoana kwa kuwa umeshajenga undugu hapo kwani mtoto wa huyo bwana ni mjukuu wa wazazi wako. Mfano siku mama umekufa ghafla baba mtoto watamjua vipi? kosa kubwa sana unafanya kwa kujirahisi hivyo
 
Back
Top Bottom