Hakuna chengine zaidi ya upumbavu yaan mwanaume unaijua kisa mapenz duuuhNimetoka kusoma kisa cha mwanamuziki mmoja wa Zambia ambae amejiua na kuacha ujumbe mrefu kwamba chanzo cha kifo chake ni tabia ya mkewe kuchepuka kulikopitiliza ambapo jamaa ameshamfuma zaidi ya mara 15 kitandani kwake akiwa na wanaume tofautitofauti including ndugu, jamaa na marafiki zake.
Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.
Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?
!aodn aataK
βοΈKwanini ni Zama hizi?
Jibu ni kwamba
Zama hizi kuna wanaume wapumbavu sana
Yani mm nimewaza ugali kuku makange jqmani tuache tukajiue etππYaani tujiue[emoji23] tuache ugali tujiue!!!! Em tusikie waja wanasemaje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani tujiue[emoji23] tuache ugali tujiue!!!! Em tusikie waja wanasemaje
Ndio et tuache mambo mazuri hapana aiseee[emoji23][emoji23][emoji23]Yani mm nimewaza ugali kuku makange jqmani tuache tukajiue et[emoji23][emoji23]
Kabisaaa [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatuna muda huo, tunajua atakuja mwingine, wanawake wanaishi kwa imani
Uaan we jaamaa ulichokifanya ni pap pap. Reply ya kwanza imekuja na majibu sahihiNimetoka kusoma kisa cha mwanamuziki mmoja wa Zambia ambae amejiua na kuacha ujumbe mrefu kwamba chanzo cha kifo chake ni tabia ya mkewe kuchepuka kulikopitiliza ambapo jamaa ameshamfuma zaidi ya mara 15 kitandani kwake akiwa na wanaume tofautitofauti including ndugu, jamaa na marafiki zake.
Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.
Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?
!aodn aataK
Jichanganye hakuna rangi utaacha ona,watoto wa siku hizi wanasema amekula ganziWanajiua mkuu, tofauti yetu sisi tunakufa kimwili na roho, wao wanakufa kiroho. Usiombe ukutane na mwanamke ameshajifia zake ukampenda
Jichanganye hakuna rangi utaacha ona,watoto wa siku hizi wanasema amekula ganziWanajiua mkuu, tofauti yetu sisi tunakufa kimwili na roho, wao wanakufa kiroho. Usiombe ukutane na mwanamke ameshajifia zake ukampenda
Ahsante sana mkuu kwa kutambua mchango wangu!! nakukaribisha siku ya x mas tabora.Uaan we jaamaa ulichokifanya ni pap pap. Reply ya kwanza imekuja na majibu sahihi
Fanya utafiti wengi wanaojiua ni wanaume wa kiafrika.Nimetoka kusoma kisa cha mwanamuziki mmoja wa Zambia ambae amejiua na kuacha ujumbe mrefu kwamba chanzo cha kifo chake ni tabia ya mkewe kuchepuka kulikopitiliza ambapo jamaa ameshamfuma zaidi ya mara 15 kitandani kwake akiwa na wanaume tofautitofauti including ndugu, jamaa na marafiki zake.
Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.
Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?
!aodn aataK
Na kuhonga ovyo ovyo wakati huna uwezo wa kumudu kuachwa.Fanya utafiti wengi wanaojiua ni wanaume wa kiafrika.
Mbiu ya wanawake: Marufuku kulialia kisa mapenzi.