Hivi ni kwanini wanawake hamjiui kwasababu ya mapenzi?

Hivi ni kwanini wanawake hamjiui kwasababu ya mapenzi?

Fanya utafiti wengi wanaojiua ni wanaume wa kiafrika.

Mbiu ya wanawake: Marufuku kulialia kisa mapenzi.
Ni kwasababu hamna mapenzi ya kweli mnakua mmejiegesha tuu mnajua mtapata mwingine
 
Yani wajiue waende na utamu wao halafu mbususu ikaliwe na wadudu huko futi sita bure bure tu? Hapana kwakweli, wasijiue.
 
Nimetoka kusoma kisa cha mwanamuziki mmoja wa Zambia ambae amejiua na kuacha ujumbe mrefu kwamba chanzo cha kifo chake ni tabia ya mkewe kuchepuka kulikopitiliza ambapo jamaa ameshamfuma zaidi ya mara 15 kitandani kwake akiwa na wanaume tofautitofauti including ndugu, jamaa na marafiki zake.

Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.

Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?


!aodn aataK
Ukishajenga na kuzaaa nae ameshapata job security yaani ndoa no job kama job nyingine na inalipa!

Sasa anaanza kufanya Yale aliokua anaogopa kufanya zamani na wewe unabaii mdomo wazi!

Ukitaka kutoa talaka unajua fika kisheria inakula kwako na were ndio utaumia sana kuliko yeye!!

Ndio maana Mungu aliruhusu ukahaba was kina Rahab uwepo kusaidia wanaume wenye msongo na Bar ziwepo Ili tulewe tusahau shida zetu Kwa muda!!

Jamaa kilchomuua ni kuwa serious wakati mwenzie hayupo serious yeye angetafuta mchepuko hata wa kupoza hisia ingemsaidia kuliko kubaki na uchungu moyoni!!
 
Wajiue watoto wamwachie Nani?

Upendo wa mwanamke kwa mtoto wake ni mkubwa Sana hadi unaathiri upendo wake kwa mwanamume.

Hata hivyo, Kuna kesi chache zimewahi kutokea za mwanamke kunywa sumu kwa ajili ya mapenzi
 
Mwanangu usijiue kisa mapenzi maana siku utakayojiua umetoa kibali kwa mume mwenza kumchukua mkeo
Ukiibiwa na ww mtafute mnyonge umuibie
 
Ni kwa sababu mwanaume ndie anatumia gharama na nguvu kubwa ku-maintain mahusiano kwa mategemeo ya kulipwa utiifu kutoka kwa mwanamke sasa ikitokea kinyume maumivu yanakua makubwa tofauti na mwanamke ambae yeye ni mpokeaji kwaiyo hata mwanaume akichepuka bado kuna kumbukumbu za fadhira alizozipata kutoka kwa uyo mwanaume zinampunguzia maumivu
 
Back
Top Bottom