Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May be may be not.Ni kwasababu hamna mapenzi ya kweli mnakua mmejiegesha tuu mnajua mtapata mwingine
Ukishajenga na kuzaaa nae ameshapata job security yaani ndoa no job kama job nyingine na inalipa!Nimetoka kusoma kisa cha mwanamuziki mmoja wa Zambia ambae amejiua na kuacha ujumbe mrefu kwamba chanzo cha kifo chake ni tabia ya mkewe kuchepuka kulikopitiliza ambapo jamaa ameshamfuma zaidi ya mara 15 kitandani kwake akiwa na wanaume tofautitofauti including ndugu, jamaa na marafiki zake.
Nikawa najaribu kuvuta kumbukumbu kama nimewahi kusikia kesi ya mwanamke kujiua kwasababu ya mwanaume kumbukumbu zikagoma kabisa.
Ina maana nyie wanawake hua hamtupendi? Mbona nyie hamjiui kwaajili yetu? Kwanini kila siku ni wanaume tuu tunajiua kwa ajili yenu? Nini kimejificha nyuma ya hili?
!aodn aataK