Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 321
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Or you can get her before she gets you...Hivi ni kwa nini wanawake hamjui kukataliwa? Nyie ni nani hasa? Hivi ni kwa nini mmejiaminisha hamuwezi kuwa 'rejected'?
Ni week sasa naanza kuona matukio yasiyo ya kawaida baada ya kumkataa demu mmoja ambaye alisema kwa vyovyote nitakiona cha moto.
Akaongeza kuwa hajawahi kukataliwa na mwanaume yeyote. Hivi mnatutakia nini nyie? Ushauri wenu wadau, roho yangu inaandamwa.
Ulianzaje kutembea na kichaa?Hivi ni kwa nini wanawake hamjui kukataliwa? Nyie ni nani hasa? Hivi ni kwa nini mmejiaminisha hamuwezi kuwa 'rejected'?
Ni week sasa naanza kuona matukio yasiyo ya kawaida baada ya kumkataa demu mmoja ambaye alisema kwa vyovyote nitakiona cha moto.
Akaongeza kuwa hajawahi kukataliwa na mwanaume yeyote. Hivi mnatutakia nini nyie? Ushauri wenu wadau, roho yangu inaandamwa.
Nadhani Abdallah kichwa kalala usingizi wa pono na haamki ng'o. Hakuna jambo la kutisha kama hili kwa mwanaume ambaye jana tu alikuwa rijali akipeleka moto bila wasiwasi [emoji16]Unaona matukio yasiyo ya kawaida kama yapi?
Ulianzaje kutembea na kichaa?
Umereply kama hujawai ona masaibu yanayowakumba watuUnaishi kwa hofu....na ndio inayokusumbua. Muamini Mungu, hakuna baya litakalokusumbua.
Ongea na Mzee wako au mama naamini watakusaidia zaidi kama unaisi uyoo mwanamke anafanya vitu vya kishirikinaHivi ni kwa nini wanawake hamjui kukataliwa? Nyie ni nani hasa? Hivi ni kwa nini mmejiaminisha hamuwezi kuwa 'rejected'?
Ni week sasa naanza kuona matukio yasiyo ya kawaida baada ya kumkataa demu mmoja ambaye alisema kwa vyovyote nitakiona cha moto.
Akaongeza kuwa hajawahi kukataliwa na mwanaume yeyote. Hivi mnatutakia nini nyie? Ushauri wenu wadau, roho yangu inaandamwa.
Nadhani Abdallah kichwa kalala usingizi wa pono na haamki ng'o. Hakuna jambo la kutisha kama hili kwa mwanaume ambaye jana tu alikuwa rijali akipeleka moto bila wasiwasi [emoji16]
Ukitaka kujinasua fuata huu ushauriVumbi tu kichwani linakusumbua. Bado moshi haujatulia. Hakuna cha kutafutwa roho hapo, yako tu.
Ukitaka kuamini hapo ulipo jiambie hakuna wa kunifanya lolote. Naweza kuyapeleka maisha nnayotaka mimi.
Ila hakikisha haujamdhulum, maanake hapa umeleta story ya upande mmoja.
Labda anamtokea usiku kama mzimu.Unaona matukio yasiyo ya kawaida kama yapi?
Unaona matukio yasiyo ya kawaida kama yapi?
Hivi ni kwa nini wanawake hamjui kukataliwa? Nyie ni nani hasa? Hivi ni kwa nini mmejiaminisha hamuwezi kuwa 'rejected'?
Ni week sasa naanza kuona matukio yasiyo ya kawaida baada ya kumkataa demu mmoja ambaye alisema kwa vyovyote nitakiona cha moto.
Akaongeza kuwa hajawahi kukataliwa na mwanaume yeyote. Hivi mnatutakia nini nyie? Ushauri wenu wadau, roho yangu inaandamwa.