Hivi ni kwaninni kuwasiliana na michepuko ni kutamu zaidi na kunanoga?

Hivi ni kwaninni kuwasiliana na michepuko ni kutamu zaidi na kunanoga?

Pale si X ni Virusi vya gono/uti ndo huvuta kwa sauti. Ukishaambukizwa jaribu kumpigia kumpa taarifa za usaha kwenye uume uone kama jibu litakuwa la sauti tamu.
 
Sababu anataka kukuibia Hela żako kwa njia ya ulaghai.

Hivyo tu Basi [emoji108]

Labda uniambie kuwa Huna Hela na anajua kwa Sasa Huna lakini bado anakupenda tu bila masharti yoyote.
 
Nadhani hili la kutokaa pamoja ndo linafanya mapenzi yaongezeke.
 
Back
Top Bottom