Mama alinipa story ya Coca-Cola miaka hiyo ya 60’s.Nasikia mimba yangu mazaa ... Alikua anataka wali tuuu
Ilikuaje hahahaha sister we wa kitamboMama alinipa story ya Coca-Cola miaka hiyo ya 60’s.
Ananiambia alikuwa halali bila Coca-Cola, msure ilibidi awe na chupa tupu saa zote kwenye gari.Ilikuaje hahahaha sister we wa kitambo
Aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ananiambia alikuwa halali bila Coca-Cola, msure ilibidi awe na chupa tupu saa zote kwenye gari.
UltrasoundKunakaukweli aisee,,
Hivi hawa wasanii wa mbele mbona nawasikia wakisema anatarajia kuzaa mtoto wa kike,,kwani kunamashine zinaweza ona Jinsia ndani ya tumbo?
Hee kumbe mhenga!Mama alinipa story ya Coca-Cola miaka hiyo ya 60’s.
Ultrasound
Mimi sijawahi kupata usumbufu wowote na nilipata baby girlMorning sickness baby girl...