kumekuwapo na njia mbali mbali za kubashiri jinsia ya mtoto alieko ndani ya tumbo la mama mjamzito,baadhi wamekua wakisema eti mimba ikisumbua sana(mjamzito kupata shida mara kwa mara) ujue ni mtoto wa kike, Wengine mjamzito akimchukia mumewe ujue hiyo mimba ni ya mtoto wa kike na mengine mengi.
Tunaomba watalaam wa mambo watujuze.
Tunaomba watalaam wa mambo watujuze.