Hivi ni kweli BAKWATA ni chombo cha CCM?

Naelewa kuwa Waislamu wana madhehebu kibao. Je wote hawa wanafuata Bakwata?

Lazima wawe chini ya bakwata,bakwata ni chombo maalumu cha kuwa control waislamu,vinginevyo wale extrimities wangechinjana na kujilipua hovyo.
 
Hao waislam wenyewe hawaipendi kwa sababu ni chombo cha chama kikubwa nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…