mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Nimesikia huko wakijadili eti binadamu awaye yeyote hufa siku ile ile aliyozaliwa,
Yaani kama ulizaliwa jumamosi basi utakufa jumamosi, hata kama utakufa na miaka 89 lakini siku itakuwa ni ile ile, ila wanadai tarehe zinaweza kupishana,
Je ni kweli? Kuna ukweli hapa, kuna alie na mifano?
Nawasilisha
Yaani kama ulizaliwa jumamosi basi utakufa jumamosi, hata kama utakufa na miaka 89 lakini siku itakuwa ni ile ile, ila wanadai tarehe zinaweza kupishana,
Je ni kweli? Kuna ukweli hapa, kuna alie na mifano?
Nawasilisha