Hivi Ni Kweli Bongo movie Wanauza PaPuChi?Au ni Story za Mtaani

Hivi Ni Kweli Bongo movie Wanauza PaPuChi?Au ni Story za Mtaani

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Ni miaka kadhaa sasa huku mtaani kila nikipita pita sehemu tofauti nakutana na story tatanishi juu ya wasanii wa kike wa bongo movie
Story yenyewe ni kuwa hawa wasanii wanauza papuchi zao.Nimejaribu kudodosa wapi soko lao lipo nami ikinipendeza siku moja nikalipie huduma hii.Lakini bado sijapata direction zaidi ya kusisitiziwa Ni wafanyabiashara wazuri sana.
Na kama ni hivyo,Wanauza kama wale wa kona bar?au wanastaili yao,Na nini kinawapelekea kuuza hivyo vitumbua vyao angali hujinasibu kuwa wana fedha nyingi na maisha mazuri.
Au huko kwenye hiyo tasinia kuna pepo la kungonoka?
Historia zaonyesha wazi wengi wao kabla ya kuingia kwenye bongo movie walikuwa watulivu tu.
Ni tatizo lipi haswa la kisaikolijia linalowaandama hawa mabinti?
Ni maswali mepesi lakini yasipojibika yana athari kwa kizazi cha kitanzania kijacho.Taifa linaweza kugeuka la wauza papuchi na ikaonekana ni fashion
Ebu mwenye list ya wauza papuchi wa bongo movie atundike hapa tuwatambue ila kabla ya kushughulika na hili tatizo tuendelee kuwatafuna tafuna.
 
wacha mimi nijichekee tu, kama vile tupo jukwaa la Jokes
 
Mleta mada hata signature yake tu inaonesha anahitaji msaada
 
Kama unamtaka Jokati usipate shida, jenga urafiki na Kiba au mashabiki damu wa Ali K watakuunganisha. Mteremko kama kitonga.
 
sio bongo movie tu

Hata humu wauzaji wapo.
 
Back
Top Bottom