Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wabongo ukiwaomba msamaha ndio wanakugeuza kinyago cha mpapule kule Instagram nadhani jamaa ndio sababu kaona isiwe shidaNikweli jamaa alimla na alitoka hadharani kuomba msamaha kwa mkewe na mtoto wake pamoja na wananchi wa Marekani.
Na mpaka leo hakuna anae mnyooshea kidole juu ya Monica.
Nadhani hata Gwajima angeomba msamaha najua baada ya muda yangepita na watu wakasahau. Ila kwa majibu ya juzi nadhani hata kutubu huyu mtu sidhani kama atakumbuka.
Yohana 8:32Ila wabongo ukiwaomba msamaha ndio wanakugeuza kinyago cha mpapule kule Instagram nadhani jamaa ndio sababu kaona isiwe shida
Hawawezi kuchukua video hao wana akili timamu sio kama gwajingaNimetafuta sana Google nikaishia kuona vibonzo tu
Hao ni kina nani?Ni nani aliethibitisha wakati huo maana nasikiasikia tu mzee alikazia mezani...who has the details na video clip je?View attachment 1094239
Clinton hakumlala Monica!. Alimuingiza tu Cigara na Monica akamchezea tu Bamia yake hadi akavunja yai kwenye Nguo ya Monica. Monica akachukua ile Nguo akaiweka ndo akaenda kumsimulia Mama Fulani walichofanya. Maza huyo akamwambia hiyo Nguo asiifue ndio akaenda mshatiki Clinton.Nikweli jamaa alimla na alitoka hadharani kuomba msamaha kwa mkewe na mtoto wake pamoja na wananchi wa Marekani.
Na mpaka leo hakuna anae mnyooshea kidole juu ya Monica.
Nadhani hata Gwajima angeomba msamaha najua baada ya muda yangepita na watu wakasahau. Ila kwa majibu ya juzi nadhani hata kutubu huyu mtu sidhani kama atakumbuka.
Ukweli ushajulikana jamaa alikuwa anagonga mzigo[32]tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
ndiyo maana demu alikuwa kama mchaga??mgegedo wa dizaini hii haunaga mandalizi yeyote...unatafuta pakupenya tu
umejuaje kama ni "likaka" unalifahamu?Me silipendi ili likaka jamani. Post zake zimekaa kishambengashambenga sijui linakulaga maharage ya wapi
Hahahahahahahahah sio uongo tu ni tapeli aliyeshindikana huyo wakazi wa Yombo vituka wanamjua vizuriUtaacha lini uongo wako wewe mtu wewe khaaaaa. Sikupendi
Ila tambua hii Ni Jamii.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kuna uzi fulani hiviIla cjui GENTA alikosea wp, naona kila uzi unamfuata kumpinga tu.
Uzi gan??? Weka link tuone?? Au alishawahi kutapeliwa na GENTAKuna uzi fulani hivi