Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeambiwa ndo waliomuua rais wa irani halafu eti wanshindwa kwa sehem isiyo na ulinzi wowote ule na wanapotawala kwa zaidi ya miaka 17Hilo eneo la Gaza ni kubwa kiasi gan kiasi cha wapiganaji wa Hamas kutodhibitiwa? Imeripotiwa kuwa wanaendelea kurusha maroket kuelekea Tel aviv. Je hiyo mifumo ya ulinzi ya Israel inashindwa kugh'amua walipo? Au Dunia inachezewa akili?
Ajabu sanaTumeambiwa ndo waliomuua rais wa irani halafu eti wanshindwa kwa sehem isiyo na ulinzi wowote ule na wanapotawala kwa zaidi ya miaka 17
Israel ameshaua Wapalestina 35 na kuumiza wengine kadhaa usiku huu, wakiwemo watoto. Kashambulia Tent Camp huko Rafah.Hilo eneo la Gaza ni kubwa kiasi gan kiasi cha wapiganaji wa Hamas kutodhibitiwa? Imeripotiwa kuwa wanaendelea kurusha maroket kuelekea Tel aviv. Je hiyo mifumo ya ulinzi ya Israel inashindwa kugh'amua walipo? Au Dunia inachezewa akili?
Wewe uliona hayo mahandaki yanaenda mpa Israel na Misri?Jamaa wanaishi chini ya ardhi sio rahisi kujua wanapoishi kwasababu wana mahandaki yamekwenda mpaka Israel na misri.
Ndiyo kijiweni mnavyodanganyana?Wenzako wanapigika,wewe unaleta vijistori vya kiwehu!😎Wewe uliona hayo mahandaki yanaenda mpa Israel na Misri?
Israel hawezi vita huyo ni wale vichaa warusha maboom kwa civilian.
Hamasi ana tactics dunia nzima inajiuliza America kila kukicha anapeleka silaha Israel na wameshindwa kuwagusa Hamasi wataishia kuwauwa watoto, wanawake na vizee visio na hatia lakini kuwamaliza Hamasi hawataweza.
Hizo ndio akili zenu na jeshi la Israel litaishia kuimba nyimbo hizo, Hamasi wanapo kuwa wamevaa civilian huwa wana silaha kwani wanatumia upepo au mawe 😄Hamas wawavai magwanda wapo kiraia.. hawatembei na silaha..sababu satellite za israel zina detect kila silaha ikibebwa na ikitembezwa wao silaha zipo majumbani ukipishana na raia akaingia ndani ya nyumba basi akichungulia nje tayari kabeba silaha.. and Egypt anapenyeza bado silaha ndio maana Israel kachukua Raffah kakuta mahanadi 50 yanaelekea Sinai.. Egypt ni chui mwenye ngozi ya kondoo..
Idf akiua gaidi Aljazeera anareport ni raia mams na watoto kila kichapo issue kwa taarifa zao hadi idadi ya watoto wote wa Gaza kitakwimu ikapitiliza
Sawa mlituambia Hamasi mmeifukuza Gaza sa mnaelekea Rafah huko Rafah mtaondoka mtasema wapo Egypt au Tanzania na wakati Hamasi yupo kila sehemu ya Gaza.Ndiyo kijiweni mnavyodanganyana?Wenzako wanapigika,wewe unaleta vijistori vya kiwehu!😎
Popote walipo wanatakiwa wapate kipigo hadi waseme yaallah!Sawa mlituambia Hamasi mmeifukuza Gaza sa mnaelekea Rafah huko Rafah mtaondoka mtasema wapo Egypt au Tanzania na wakati Hamasi yupo kila sehemu ya Gaza.
Kume Rafah inajulika ni camp za wakimbizi tu na UN wanawatu wao pale wanafahamu hayo, anacho fanya Israel ni uwaji sababu vita kashindwa.
Sawa kauweni popote mlipo lakini Hamasi hashindwi hi vita, Israel yeye na USA wanadharaulika duniani kila kukicha.Popote walipo wanatakiwa wapate kipigo hadi waseme yaallah!
Unadharau watu wanaokuletea hadi chakula na maji ya kunywa?Kujilisha tu ni shida halafu mnataka vita?Mna changamoto ya akili hadi keshokutwa.Sawa kauweni popote mlipo lakini Hamasi hashindwi hi vita huyo yeye na USA wanadharaulika duniani kila kukicha.
Kule USA uislam unaxidi kupaa sababu ya ujinga wenu watu wananza fahamu ya ukweli mlio danganywa miaka na bibilia zenu fake eti Israel ni taifa la Mungu wakati hakuna andiko kwenye hizo hizo bibilia zenu zinasema Israel ni taifa 😄
Akili Mali, hivi Israel asinge saidiwa na USA angeweza kubaki hata siku moja pale, Hamadi wanaume aisay wacheni mchezo.
Sio kupatawala tu wamewapiga na detotionTumeambiwa ndo waliomuua rais wa irani halafu eti wanshindwa kwa sehem isiyo na ulinzi wowote ule na wanapotawala kwa zaidi ya miaka 17
Kwa hio ulitaka wa South Africa, Zimbabwe, Angola, Namibia, Zambia wawache wazungu sababu waliwaletea kila kitu kwenye nchi zao mbona waliuondoa ukoloni, we akilini kwako kuna short flani kapime we wakuwekwa mental hospital 😄Unadharau watu wanaokuletea hadi chakula na maji ya kunywa?Kujilisha tu ni shida halafu mnataka vita?Mna changamoto ya akili hadi keshokutwa.
Israeli ilikuwepo pale na siyo wakoloni kama unavyodanganywa madrasa.Chambua na fungua mambo uelewe.Kwa hio ulitaka wa South Africa, Zimbabwe, Angola, Namibia, Zambia wawache wazungu sababu waliwaletea kila kitu kwenye nchi zao mbona waliuondoa ukoloni, we akilini kwako kuna short flani kapime we wakuwekwa mental hospital 😄
Video zote za Hamas gaza walilipua IDF wamevalia kiraia.. magwanda wameyatupa kule.. even October 7 wezi na wauaji hadi waamdishi walivalia kiraia na baadhi combat so Gaza yote ni wahalifu walishangilia karibu wote.. kuna baadhi walipoona mateka walianza kukimbilia Rafah same day walijua nini next..Hizo ndio akili zenu na jeshi la Israel litaishia kuimba nyimbo hizo, Hamasi wanapo kuwa wamevaa civilian huwa wana silaha kwani wanatumia upepo au mawe 😄
Mbona Israel hatuonyeshi hao civilian alio wauwa wana silaha? Hizo ni kelele za mtu dhaifu anauwa wanyoge aonekane mwanaume, kumbe hamna lolote.