ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwambie apunguze unaaUsilitaje bure jina la Waziri wangu Mh Bashungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie apunguze unaaUsilitaje bure jina la Waziri wangu Mh Bashungwa
Ona sasa usivyo na akiliUsishangae Mkuu, siku hizi hata kwenda Choo wanatumwa na Rais.
We inakukera nini wakati hata ubalozi huwezi kupewaMwambie apunguze unaa
Uko sawa mkuu!Wanatenda Kwa niaba ya Rais na pia ni namna ya kuonesha utii.
.Bashungwa ndio amezidi.
Mfumo ni uleule mkuu, tengenezea tatizo Kisha tatua then utapata sifa za kisiasa kwamba unajali watu na msikivu wa tabaka la chini,kumbe ni ujinga tu.Sasa mkuu hoja yangu kama kweli ni Kwa niaba ya Rais mbona kama wanapinga tena wao Kwa wao. Yaani Rais anamtuma waziri kufanya shughuli Fulani wakati huo huo waziri mwingine kibaya zaidi hata mkuu wa wilaya au mkoa kuleta agizo tofauti Kwa uongo kwamba naye ametumwa na Rais. Yaani hapo wanatudanganya sisi watawaliwa.
Ndo aliyewateua maana yake wakiharibu lawama kwake maza house na kinyume chake ni hivyo
Kiukweli kuna uongo sana mara tunalipa madeni ya watumishi mara tunafanya hiki uongo mtupuMwajiri wa watumishi wote wa umma ni rais wa JMT, hivyo viongozi wote wa kuteuliwa na rais, kila wachofanya ni wanafanya kwa niaba ya rais, kwa utaratibu wa the end justify the means, hata fedha, wanaolipa kodi ni wananchi, hivyo fedha za kodi ya kuendesha serikali yetu ni fedha zetu, TRA inazikusanya, baada ya kufika TRA, zinageuka ni fedha za serikali ni fedha za Samia, wateule wa rais kila wakiongea utawasikia Samia kutoa fedha hizi na zile na zinaitwa fedha za Samia!.
Hivyo sii kweli ni fedha za Samia, ni fedha zetu, na hata tukikopa tunaolipa ni sisi!, hao viongozi hawajatumwa na rais ila chochote wanachofanya ni wanafanya kwa niaba ya rais wa JMT.
P
Kabisa yaani dahMfumo ni uleule mkuu, tengenezea tatizo Kisha tatua then utapata sifa za kisiasa kwamba unajali watu na msikivu wa tabaka la chini,kumbe ni ujinga tu.
Yaani hapo umepiga la penyewe! Kwa sababu hapo ndipo penye kiini Cha KERO ya utendaji usioeleweka wa wateule wa Rais. Wakifanikiwa katika hili serikali yetu itakuwa yenye kuaminika na kutumainika. Ni ajabu nchi yetu inafika mahali hata mkuu wa mkoa anakwenda kinyume na maagizo ya waziri mkuu.Mwisho wa siku Bashe anasema maamuzi ya mwenzie Lukuvi yalikuwa ya kisiasa hii Nchi ngumu sana
Ni kweli Kwa sababu kuna principal inaitwa ministerial responsibility, japo hapa kwetu sijui kama wanaifanyia kazi.Wakiharibu ni yao wenyewe, yale mazuri ni ya mazahouse.