Hivi ni kweli hawa wanaojiuza mtandaoni ni wanachuo kweli au wanajikweza?

Hivi ni kweli hawa wanaojiuza mtandaoni ni wanachuo kweli au wanajikweza?

Stor za vijiwen ..hakuna mwanachuo anaweza fanya hvo...ni stor za wenye wivu tu..kutaka kuwashusha hadh dada zetu wasomi...
 
Hao wa mitandaoni wengi ni darasa la pili B nasoma katika chuo kimojawapo hapa DSM hao watoto wananyodo sana wanamsururu wa wanaume kila mmoja ukimgusa anakwambia ana mtu wake pili utapigwa vizinga mpaka itakimbia we mwenyewe mademu wa UD ili ajibu salamu yako lazima uonyeshe mfuko wako upo vizuri kupewa namba ni mtihani mwingine lakini kwa kuwa sisi wanaume tumeumbwa kuwa na mbinu za kuwaweza hawa viumbe baada ya mlo kifuatacho wenyewe wanajua.
 
Mh... Company yangu ilikua ya wasongo... Maana sikua naenda club Wala msikitini Wala sikua nakunywa pombe...ilikua Mimi nabf wangu na kusoma...TU
Jamaa atakuwa alikutandika sana, maana starehe yako ilikuwa borooo tu
 
Sasa za mtandaon si ndo hizo hizo ziko mtaan
..Au kuna dunia yao tofaut wanaishi wa mtandaon?
tofautisha anaetumia mtandao pasipo lengo la kujiuza na anaetumia mitandao kwa ajili ya biashara ya ngono, na tena mitandao yenyewe ni badoo nk
 
Siku hizi ukichati na manzi tinder au badoo utakuta manzi anasema yuko chuo flani, UDSM, IFM, SAUTI n.k. Ajabu ukiomba tunda atakupa bei then namba ya simu then mnakutana eneo la mikasi.

Huwa najiuliza enzi zangu niko chuo mbona sikuwa najua kama wapo wanajiuza ningekuwa nawapata kiurahisi kuliko ninavyowapata sasa hv nikiwa siko chuoni.

Halafu unakuta kuna masela pale chuoni wanateseka kula kwa macho tu.
Wapo
 
Mbinu ya kujiuza mitaani inatumiwa na wadada local local wasioenda shule. Ni mbinu ngumu, yenye changamoto nyingi na ya kidhalilishaji. So siku hizi mbinu inayotumika na pisi kali za chuo ni kuanzisha mahusiano na wanaume wengi halafu anakua anavuta mpunga kwa kila mwanaume kwa kadri ya uwezo wake. Hii imerahisishwa na mitandao hasa instagram ambapo demu ana display picha zake nzuri, then anatulia zake. Wanaume wakimtongoza anawa rank kwa kuangalia "potential" ya kila mmoja na wale anaoona wanalipa anawakubali. Kwa kufanya hivyo anakua na uhakika wa kutolewa outing kila anapotaka, kutumiwa hela za vocha, material, kula, salon, nk kiasi apendacho, kulipiwa "kiasi cha ada alichopungukiwa", vijizawadi kama simu kali, shopping nk. Wengi wa wadada wanaojiuza kwa aina hii ni ngumu kuwashtukia kwani hua hawapendi kuishi hostel, wao hupanga nje ya vyuo. Kama ikitokea anaishi hostel, basi hua anaweza "kupotea" ghafla unashangaa anarudi baada ya siku 2 au 3 na kamwe hakubali mwanaume amfuate hostel.
Kweli kabisa. Wapo wengi wa aina hii, hata Facebook wamejaa sana. Wanaweka picha zao kali za kihasarahasara na kuomba urafiki kisha wanakwenda inbox kudanga
 
tofautisha anaetumia mtandao pasipo lengo la kujiuza na anaetumia mitandao kwa ajili ya biashara ya ngono, na tena mitandao yenyewe ni badoo nk
ila wote wanaishi mtaani au??Sasa ukisema aachane na malaya wa mtandaon aende kutafuta madem wazuri mtaan anaweza akakutana nao hao hao ila wakikutana mtaan mbaya zaidi hawatamwambia biashara yao..watamuektia ni watu wa kanisan mwisho wa siku atawagharamia mara×10 ya angekutana nao mtandaon
 
Kuna jamaa yangu aliniambia hapa dar kuna machimbo wanachuo huendaga kujiuzia yako sinza,tabata nk. nk.
Sasa cha ajabu mwenyewe nimesoma chuo ila sijawahi sikia wanachuo wanaojiuza.
Maybe kwasababu UD ni chuo kikubwa kwahyo watu hawajuani inakuwa rahisi kujiuza(im thinkn out loud)

Lakin bado siamin kama wanachuo huwa wanajiuza kama inavyoaminika mtaani

mtaani kuna story eti wakimaliza boom wanaendaga kujipanga kama nyanya

mimi niliwaona hadi wanashindia mihogo na maembe ila sikuona wakijiuza sasa bado sielew hii dhana ni kweli au uzushi watu wakiona bidada club ameweka wigi,kucha ndefu,makeup kwa sana wanaassume ni mwanachuo.

This is my connundrum
Wanajiuza...enzi zangu nasoma chuo walikua wanajiuza jolly..namfahamu mmoja bei ilikua 70,nasikia siku hz ni branch manager bank fulani
 
ila wote wanaishi mtaani au??Sasa ukisema aachane na malaya wa mtandaon aende kutafuta madem wazuri mtaan anaweza akakutana nao hao hao ila wakikutana mtaan mbaya zaidi hawatamwambia biashara yao..watamuektia ni watu wa kanisan mwisho wa siku atawagharamia mara×10 ya angekutana nao mtandaon
Ni nafuu hao kuliko mwanaume kupanda dau kwa anaejianika kuuza utupu wake
 
Ni nafuu hao kuliko mwanaume kupanda dau kwa anaejianika kuuza utupu wake
utofauti uko wapi? Maana 90% ya wanawake bongo(And im being generous) wanauza utupu tofauti hawa wanajianika wengine hawajianiki
 
utofauti uko wapi? Maana 90% ya wanawake bongo(And im being generous) wanauza utupu tofauti hawa wanajianika wengine hawajianiki
Utofauti ni huo kujianika na kutojianika umeandika mwenyewe

Itakuwa poa mjadala ukiishia hapa fanyeni kitachowabariki,, Niko bize kwa sasa
 
Utofauti ni huo kujianika na kutojianika umeandika mwenyewe

Itakuwa poa mjadala ukiishia hapa fanyeni kitachowabariki,, Niko bize kwa sasa
Ni sawa na upewe sumu mbili uchague
Moja ina Label(Poison) Nyingine ina label(Savvana)

At the end of the day zote ni sumu na utakufaa..So sioni mantiki ya kumkejeli atakayechukua yenye lebo ya (poison)
 
Kusema ya kuwa mwanamke/msichana anayesoma chuo hawezi kujiuza mi nakataa....Tukiachana na mtizamo huo...kujiuza kwa mwanamke kunabakia kuwa ni hulka na tabia yake binafsi....Wanawake wangapi wana kazi za kuwapatia kipato lkn wanajiuza ama wanaigiza picha za ngono.
Mfano m'dada Pryanka Chopra ni mwanamke mzuri lakini pia ni muigizaji wa filamu za kihindi ila leo hii yeye ni muigizaji wa filamu za Ngono.

Kwa upande wangu,wapo wanachuo wenye kufanya kila aina ya starehe hata hiyo biashara ya kujiuza kwa baadhi yao wanaifanya ila kwa kificho na umakini wa hali ya juu.Tsiwakatalie kwenye hilo kwa kuwaamini kuwa wao kutokana na usomi wao pamoja na mazingira waliyotokea basi hawawezi fanya uharamu huo...ilihali hao hao wasomi wetu tulionao kutokana na elimu zao wanafanya mambo ya ajabu kushinda hata yule aliyeishia kidato cha nne

Priyanka Chopra??Kaanza lin kuigiza porn?
Una link?
 
Hawapo kabisa, yaani ukifanyika msako wa kuwakamata hao wanaosema ni wanachuo ndiyo utajua ni majanga. Hakuna mwanachuo msichana anayeweza kujiuza, maan background za wasichana wengi si za kujiuza

Kwenye mitandao wapo wengi tu tinder na badoo hawasemi kama wanajiuza ila ukiwatongoza atakuambia umpe bei flani then mnakutana unamla mimi nawajua wengi tu toka chuo cha ifm na udsm
 
Ni sawa na upewe sumu mbili uchague
Moja ina Label(Poison) Nyingine ina label(Savvana)

At the end of the day zote ni sumu na utakufaa..So sioni mantiki ya kumkejeli atakayechukua yenye lebo ya (poison)
Binadamu hatufanani mtizamo weka hiyo kichwani kwako
 
Wachangiaji huu uzi asilimia kubwa mumeniangusha sana. Hasa wanaume. .
Yaani mnaakili kweli??! Eti mnakaa kabisa kutetea wadangaji hawawez kua wanachuo. Comoooon men. What's so special about chuo?? Tell me.
Kudanga ni tamaaa tu. Unataka pesa ya ziada baasi. Na mtu yoyote awe wa chuo awe mke wako anaweza kudanga.
Tena ukitaka kujua wanafunz wachuo wanadanga weka urafik na madereva taxi na uber. Utapewa number bila shida za wanachuo.
Eti wanafunz wachuo hawadangi.
Vyuo vyenyewe ndio huu utitir wa degree za chupi.
Mimi kuna mshikaji kipindi nilitaka number ya watoto wachuo yeye ni Uber anapaki maeneo ya chuo kabisa. Ananiuliza unataka number ya bonge English figure fupi au tukununyema.

Wanatetea bure tu kwani hata pale baa ya 5n mcity pamejaa wanafunzi wa chuo ukimnunulia bia mbili tatu unaenda nae na unamlipa sasa huyo siyo malaya? Tena hakuna haja ya kwenda club kwenye mitandao ya badoo na tinder wamejaa wanafunzi wengi sana wa vyuo wanakataa tu hapa.
 
Kwani ukizioona nanii zao huwa zina degree! Au zimesoma au ni za kawaida wa shule za msingi

Nimekutana nazo nyingi zinakuwa na stress za tests za cost accounting na unapiga nao story hadi za malecturer ninaowajua hapo chuo wanawajua vizuri mtu anakuambia eti siyo wanafunzi. Mimi nikikuambia ni wanachuo trust me ihave done my homework nimewala wengi tu kwenye mitandao toka vyuo vyote vikubwa vya dar hapa.
 
Back
Top Bottom