Hivi ni kweli hawa wanaojiuza mtandaoni ni wanachuo kweli au wanajikweza?

Hivi ni kweli hawa wanaojiuza mtandaoni ni wanachuo kweli au wanajikweza?

Sio wanachuo hao, Wanatumia hiyo status kuvuta maboya.

Wanachuo, hawauzi reja reja hivo, Ila wanadanga tu kwa wale wanao shoboka nao, Ukimu approach hakatai hata kama haja kuelewa, anakupa bills tu show unakula kwa mbine ika bills za mwendokasi then utajua wewe usuke au unyoe
 
Siku hizi ukichati na manzi tinder au badoo utakuta manzi anasema yuko chuo flani, UDSM, IFM, SAUTI n.k. Ajabu ukiomba tunda atakupa bei then namba ya simu then mnakutana eneo la mikasi.

Huwa najiuliza enzi zangu niko chuo mbona sikuwa najua kama wapo wanajiuza ningekuwa nawapata kiurahisi kuliko ninavyowapata sasa hv nikiwa siko chuoni.

Halafu unakuta kuna masela pale chuoni wanateseka kula kwa macho tu.
Na kila mwanaJf, alishapitia chuo😁🤣😃
 
Hao ni Malaya wa mtaani tu,watoto wa chuo soko lao kubwa sana yaani kuanzia anaosoma nao watu wana pesa za matumizi vizuri tu hasa wafanyakazi na wafanya biashara na tulikuwa tunabembeleza kwelikweli na pesa zetu na bado wengine tulitafuna na wengine tuliambulia patupu.Sasa hapo bado wanafunzi wa kozi zingine,bado anao ishi nao mtaani,Bado wafanya biashara wa mtaani kwake,Bado kule mkoani kwao kuna mtu anagharamia kwelikweli ndio akajianike tinder huo ni uongo.
 
Back
Top Bottom