TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Typical MS!
I am a public policy analyst based in Arusha, Tanzania
Mr Rutashubanyuma wewe mchambuzi gani wa kisiasa na sera ambaye hujui hata misingi ya kujadili kwa misingi ya hoja wewe unaongelea hisia zako za kisiasa mbona uu mjinga mpaka umepitiliza kiwango cha ujinga cha kawaida?...............wewe hujui kuwa CCM imeshinda kwa kishindo ule uchaguzi wa serikali za mitaa?............hutaki historia?..................au unadhani kuwa mchambuzi wa kisiasa ni kutetea CHADEMA? badilika fumbuka pambazuka acha ujinga jadili vitu kwa hoja na mantiki.
I am a public policy analyst based in Arusha, Tanzania
Mr Rutashubanyuma wewe mchambuzi gani wa kisiasa na sera ambaye hujui hata misingi ya kujadili kwa misingi ya hoja wewe unaongelea hisia zako za kisiasa mbona uu mjinga mpaka umepitiliza kiwango cha ujinga cha kawaida?...............wewe hujui kuwa CCM imeshinda kwa kishindo ule uchaguzi wa serikali za mitaa?............hutaki historia?..................au unadhani kuwa mchambuzi wa kisiasa ni kutetea CHADEMA? badilika fumbuka pambazuka acha ujinga jadili vitu kwa hoja na mantiki.
Wamalizie kabisa na ile maneno yako ya ..."al madrasa sul"
Google helps.
Mavi ya kale hayanuki. Michanganuo ya chaguzi za zamani haitusaidii kwa lolote na ndiyo maana tutafanya uchaguzi sasa vinginevyo CCM tungeitawaza tu kuwa mshindi lakini utamaduni wa kidemokrasia upo wazi kwenye hilo. Open your eyes, old boy!