TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
1 kati ya kila shilingi 5 Tanzania imewekezwa katika elimu huku Tanzania ikiwa na mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu.
Chama Cha Mapinduzi kilishinda kwa zaidi ya asilimia 70 katika chaguzi za serikali za mitaa miezi michache nyuma.
Je,wadhaniao CCM itashindwa wanaota ndoto kiasi gani?Ni za Mchana au za kweli za usiku?Muda utasema.
Chama Cha Mapinduzi kilishinda kwa zaidi ya asilimia 70 katika chaguzi za serikali za mitaa miezi michache nyuma.
Je,wadhaniao CCM itashindwa wanaota ndoto kiasi gani?Ni za Mchana au za kweli za usiku?Muda utasema.