Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
habali wanajf,kwa wale wafanyakazi,wapita njia,wanafunzi wa udsm...hapa chuoni nimekuwa nikiwaona baadhi ya wazungu wakizungukazunguka maeneo ya chuo wengine wakionekana ma class wakipiga mapindi....
hivi swali ambalo najiuliza hivi mzungu anaweza akaamuaa kuacha kusoma kwao vyuo vya ukweli kama harvard,oxford ,aje kusoma tanzania ...tena chuo udsm....au wana lao jambo wanalitafuta....hapa maana isije siku watu wakajitoa muhanga...
hivi swali ambalo najiuliza hivi mzungu anaweza akaamuaa kuacha kusoma kwao vyuo vya ukweli kama harvard,oxford ,aje kusoma tanzania ...tena chuo udsm....au wana lao jambo wanalitafuta....hapa maana isije siku watu wakajitoa muhanga...