Hivi ni kweli HESLB wamepunguza boom quarter 4 hii semester

Hivi ni kweli HESLB wamepunguza boom quarter 4 hii semester

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Wadau nasikia kuna baadhi ya vyuo wamepunguziwa boom lao la mwsho kwa semester hii, hizi habari ni za kweli? Kama ni kweli hizi pesa zinazokatwa na bodi kwenye booms za wanafunzi huwa zinapelekwa wapi au wanapiga tu hawa waliopewa dhamana pale HESLB.
 
Wanafunzi wamepewa kama 370..k na wamesema hii imeanza last year semester kama hii. Nguvu ya kugoma hawana maana hata hali zao pia ni tete
 
Karibun kitaa,

Hiyo ndio Hali "mabloo" zenu tunakuna nazo kitaa
 
Wanafunzi wamepewa kama 370..k na wamesema hii imeanza last year semester kama hii. Nguvu ya kugoma hawana maana hata hali zao pia ni tete
Manafunzi ya sikuizi majinga tu yote yako CCM
 
Wadau nasikia kuna baadhi ya vyuo wamepunguziwa boom lao la mwsho kwa semester hii, hizi habari ni za kweli? Kama ni kweli hizi pesa zinazokatwa na bodi kwenye booms za wanafunzi huwa zinapelekwa wapi au wanapiga tu hawa waliopewa dhamana pale HESLB.
Aisee wengine huku bado hata sms ya crdb.Ndo nasikia eti wanakata aisee!
 
Back
Top Bottom