Hivi ni kweli jina la Adolph liliacha kutumika Ujerumani ?

Hivi ni kweli jina la Adolph liliacha kutumika Ujerumani ?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kwakweli jambo hili nimelisikia kutoka kwa mtu ambaye sina shaka na upeo wake kwamba tangu utawala wa Hitler kuangangushwa nchini Ujerumani watoto waliozaliwa na wanaoendelea kuzaliwa mpaka leo hakuna mtoto aliyezaliwa na kupewa jina la Adolph je kuna ukweli wowote juu ya hili?
 
bado linatumika sana.
adolf-genevolu.jpg
 
Adolf ni jina LA kimakuwa ndio maana halitumiki Ujeremani
 
Unaamini kabisa umejibu kile ninachohitaji kujuwa?

nadhani unataka kujua kuwa baada ya 1944 kama kuna watoto waliopewa jina la adolf huko udachi, hiyo ramani inaonesha watoto wenye majina ya adolf waliozaliwa 1998. au sijakuelewa vizuri Matola ?
 
Last edited by a moderator:
nadhani unataka kujua kuwa baada ya 1944 kama kuna watoto waliopewa jina la adolf huko udachi, hiyo ramani inaonesha watoto wenye majina ya adolf waliozaliwa 1998. au sijakuelewa vizuri Matola ?

Hanki's Photo Hanki 17 Jul 2011
I think most of the people with this name were born before 1945, in my hometown in germany there is only one Adolf i know of and he is over 70.
 

Attachments

  • 1410095257484.jpg
    1410095257484.jpg
    22.4 KB · Views: 166
Last edited by a moderator:
Yawezekana kabisa halitumiki, kuna mjerumani alikuja nyumbani , nilipo gusia au kutamka Adolf alinijibu @our shame kwa hiyo yawezekana kabisa jina hili halitumiki kabisa
 
Last edited by a moderator:
Nadhani sio illegal kwa ujerumani kutumia jina la Adolf (I stand to be corrected) ila umaarufu wa jina hilo ulishuka sana baada utawala wa Hitler maana sasa lilihusishwa na huyu mnazi. Wazazi walianza kuhofia usumbufu unaotokana na jina hilo hasa katika mashule. Wanafunzi wao kwa wao wana utani mwingi na pia ule ubabe wa shuleni (bullying) kwa wale wenye chochote kitakacholeta hali ya kusumbuliwa ikiwamo majina fulani.

Niliwahi kusoma mahala kuhusu watoto wa ndugu wa Hitler (Alois) walibadili surname yao. Wajerumani wako sensitive kwa mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom