Katika sekta ya elimu kuna tetesi kuwa walimu wengi hususan wanaume ni mabishoo dat means wakipiga pindi class mifano mingi siyo ya kuelimisha bali ni ya kuwapotosha wanafunzi! Na kufanya wanafunzi wasifikirie kile wanachojifunza nakuwaza inshu nyingine kama kukrame ticha asemacho !
Wana jf mnasemaje juu ya hili?
Wana jf mnasemaje juu ya hili?