Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Naomba kujuzwa wanasayansi na watafiti waboɓezi.
Mfano: Sato, sangara na yule mwingine mrefu kama nyoka (mumy) wanapatikana ziwa Victoria tuu,
Hivi kweli lake nyasa na lake Tanganyika wanapatikana migebuka tu na species nyingine.
Mfano Kenya kuna lake turkana inamaana huwezi kupata sampuli ya sato sangara au hata migebuka ?
Sasa katika jamii mbali mbali duniani na maziwa yoye ina maana kila ziwa lina species zake, Je huwezi kwenda marekani au Brazil huko ukatutana na species inayofanana na sato au sangara.
Licha ya kwamba sijui, ila kama duniani kote sato na sangara unawapata ziwa Victoria peke yake basi hii nchi tulitakiwa kuwa mbali sana katika nyanja za uchumi.
Nawasilisha, Swali lingine lipo next post.
Mfano: Sato, sangara na yule mwingine mrefu kama nyoka (mumy) wanapatikana ziwa Victoria tuu,
Hivi kweli lake nyasa na lake Tanganyika wanapatikana migebuka tu na species nyingine.
Mfano Kenya kuna lake turkana inamaana huwezi kupata sampuli ya sato sangara au hata migebuka ?
Sasa katika jamii mbali mbali duniani na maziwa yoye ina maana kila ziwa lina species zake, Je huwezi kwenda marekani au Brazil huko ukatutana na species inayofanana na sato au sangara.
Licha ya kwamba sijui, ila kama duniani kote sato na sangara unawapata ziwa Victoria peke yake basi hii nchi tulitakiwa kuwa mbali sana katika nyanja za uchumi.
Nawasilisha, Swali lingine lipo next post.