Hivi ni kweli kiswahili hatuna neno "future"?

Hivi ni kweli kiswahili hatuna neno "future"?

Si lazima kuwa na tafsiri ya neno kwa neno ili kulinganisha Kiswahili na Kiingereza. Hebu wataalamu wa sarufi wa lugha zote waje hapa kutujuza
<br />
<br />
Swadakta mkuu! Na hilo ndilo kosa kubwa tunalofanya ktk kutafsiri lugha. Na tukumbuke huwezi kutafsiri lugha moja kwa nyingine bila kuzijua lugha zote kwa ufasaha wake. Vinginevyo itakuwa ni upotoshaji mkubwa.
 
<br />
<br />
Swadakta mkuu! Na hilo ndilo kosa kubwa tunalofanya ktk kutafsiri lugha. Na tukumbuke huwezi kutafsiri lugha moja kwa nyingine bila kuzijua lugha zote kwa ufasaha wake. Vinginevyo itakuwa ni upotoshaji mkubwa.
Nami nakubaliana na hili, mara nyingi utata unajitokeza wakati wa kutafsiri maneno,hasa kwa kutafsiri neno kwa neno...Tukirudi kwenye mada.Future inategemea unataka kusema nini,kuna wakati neno baadaye linakuwa ndio mahala pake na kuna wakati mustakabali ,kwa mfano.
1) Ni nini MUSTAKABALI wa Taifa letu mikononi mwa CCM.
2) Tukiendelea na kilimo cha kutegemea mvua maisha yetu ya BAADAYE yatakuja kuwa magumu sana.
 
Nami nakubaliana na hili, mara nyingi utata unajitokeza wakati wa kutafsiri maneno,hasa kwa kutafsiri neno kwa neno...Tukirudi kwenye mada.Future inategemea unataka kusema nini,kuna wakati neno baadaye linakuwa ndio mahala pake na kuna wakati mustakabali ,kwa mfano.
1) Ni nini MUSTAKABALI wa Taifa letu mikononi mwa CCM.
2) Tukiendelea na kilimo cha kutegemea mvua maisha yetu ya BAADAYE yatakuja kuwa magumu sana.
Ni nini Muelekeo wa Taifa letu mikononi mwa CCM
 
Ni nini Muelekeo wa Taifa letu mikononi mwa CCM
Nini MUSTAKABALI wa Taifa letu ni sawa nakusema,..Hatima ya Taifa letu kwa siku za usoni ni nini?
Ni nini MUELEKEO wa Taifa letu, sawa na kusema..Taifa letu linaelekea wapi ikiwa na maana sasa hivi,Tulizana utanielewa.
 
Jamani ndugu wachangiaji hili ni jukwaa la kiswahili ila sasa nimeona wachangiaji wameandika maneno kiingereza. Mfano:-
Assume - Sadiki, ona, jifanya
Future - Baadaye, takaokuja, wakati ujao
Logic - Mantiki
English - Kiingereza
Why - Kwanini?
Dictionary - Kamusi
Sympathy, take it easy - Pole
 
FUTURE
Mustakabali
, maana kuu
mbeleni, baadae, usoni nk, maana nyinginezo
 
Ili neno linatokana na neno la Kiarabu Al-Mustaqbal (&#1605;&#1587;&#1578;&#1602;&#1576;&#1604;) Na lina maana ya future kwa Kiingereza.

Future (Futures) noun Mustakabali,
Future adjective -a mbeleni, - a baadae,
Future adverb Umbele,

Mustakabali , (pl) Mistakabali = English: future, (pl) futures; noun

Mfano Kiswahili: wawakilishi kutoka nchi zaidi ya mia moja na themanini, wanakutana kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kujadili mustakabali wa mkataba uliosaniwa miaka 35 iliyopita, kudhibiti kusambaa kwa teknolojia ya silaha za kinuklia

English Example: representatives from more than 180 countries are meeting at the UN headquarters to discuss the future of the treaty forged 35 years ago controlling the spread of nuclear weapons technology [BBC 2 Mei 2005]

Mfano Kiswahili: Bondia David Haye ameambia BBC kuwa atafanya uamuzi juu ya mustakabali wake katika ndondi wiki chache zijazo
BBC Kiswahili

English Example: David Haye has told the BBC he will make a decision on his boxing future in the next few weeks
BBC English
 
Future nadhani ni 'usoni au zijazo' likitumika kama future days = siku za usoni, siku zijazo
Mustakabali ni hatma. mfano tunaka tujue mustakabali wa taifa letu = tunataka kujua hatma ya taifa letu
 
hatima (derived From Arabic: hatima [&#1582;&#1575;&#1578;&#1605;&#1577;], hitimu)

Kiswahili: Uachishwaji, Kikomo, Hatima, Ukomeshaji, Ukomo, Kilembwa, Uachishaji, timizia, maliza, -sakata, -ishia, -kwisha, Rakibisha, -rekibisha, –timiza, -likiza, -maliza, Isha, –hitimu, -gota, -akidi,


English: adverb: finally, finish, afterwards, later, then

noun
: end, Finish, conclusion, conjuction, termination, conjunction After, Hatima, Afterwards, Later, Then,
 
hatima (derived From Arabic: hatima [&#1582;&#1575;&#1578;&#1605;&#1577;], hitimu)

Kiswahili: Uachishwaji, Kikomo, Hatima, Ukomeshaji, Ukomo, Kilembwa, Uachishaji, timizia, maliza, -sakata, -ishia, -kwisha, Rakibisha, -rekibisha, &#8211;timiza, -likiza, -maliza, Isha, &#8211;hitimu, -gota, -akidi,


English: adverb: finally, finish, afterwards, later, then

noun
: end, Finish, conclusion, conjuction, termination, conjunction After, Hatima, Afterwards, Later, Then,

Naona maneno mengi tumetohoa kwa waarabu ina maana mswahili ni rahisi sana kujifunza kiarabu kuliko kiingerea
 
Naona maneno mengi tumetohoa kwa waarabu ina maana mswahili ni rahisi sana kujifunza kiarabu kuliko kiingerea
Ni kweli huyasemayo, hata hivyo tumeacha kutumia maneno mengi au tumeyabadilisha jinsi ya utamkaji na hii inatokana na maingiliano ya watu toka lugha za Makabila (Kibantu) mbalimbali.

Ukienda pande za Lamu, uko ndio utapata Kiswahili kinacho karibiana na Kiarabu kabisa.
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4">Jamani ndugu wachangiaji hili ni jukwaa la kiswahili ila sasa nimeona wachangiaji wameandika maneno kiingereza. Mfano:-<br />
Assume - Sadiki, ona, jifanya<br />
Future - Baadaye, takaokuja, wakati ujao<br />
Logic - Mantiki<br />
English - Kiingereza<br />
Why - Kwanini?<br />
Dictionary - Kamusi<br />
Sympathy, take it easy - Pole</font></span>
<br />
<br />

Ulisahau...sio jukwaa la kiswahili...ni jukwaa la lugha..utawatisha wanaojua kispanish wasiandike mada zao uku
 
Kulinganisha neno la Kiswahili kwa Kiingereza au la Kiingereza kwa kiswahil ni sawa na kumwambia kibogoyo atafune chuma cha reli
 
Kuwa na neno moja si hoja wala mengi yakielezea dhana fulani, hoja ni kwamba kivitendo kweli watanzania tunaonesha kwamba tuna 'future'? tazama mipango ya miji yetu, kumbuka bomoa bomoa zinazoendelea, angalia elimu inayotolewa kwa watoto wetu pima mipango mbali mbali ya maendeleo na utekelezaji wake. ukiisha kuipima rudi katika swali "je, watanzania wana neno future'?
 
future simple means --- ujao/ jayo/ kijacho. na kama ilivyo future lazima ifuatiwe na hicho kitu kinachokusudiwa kwa huwo wakati. eg. future tense = wakati ujao.

MUSTAKBALA = mwelekeo
 
Back
Top Bottom