Hivi ni kweli kuhusu vyuo vikuu vya private......!!!!!

Mambaenock

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
427
Reaction score
107
Wana jf naomba tujadili hili suala kwa kina nimekuwa nikisikia kuwa vyuo vikuu vya private vinawanyanyasa sana wanafunzi wao kupata stahiki zao
hasahasa pesa zao walizokopeshwa na bodi ya mikopo kwa kucheleweshwa kupewa wahusika wakuu au kunyimwa kabisa mfano pesa za field .!
je na vyuo vya serikali hali ni hiyo?
nawasilisha.
 

vyuo vya gvnt n fasta 2 unakula pesa yako
 
mkuu hata gvmnt kuna utata wake! Hili suala linategemea serikali ya wanafunzi iliyopo madarakani ina power kiasi gani? Over
 
Vyuo vya gvmnt havina longolongo..ukimaliza registration tu unakula hela yako..
 
kweli jamani watu wa TEKU niko nao hapa wananambia hawajapata hela yao ya field na field karibu iniisha!
source; wanachuo wa teku mbeya!
 
kama ni mfuko kwa wanafunzi wa vyuo vikuu wa Tanzania, basi inatakiwa wote wapate kwa wakati na pengine vyuo vikuu viwe na calendar zake hapo loan board na desk la mtu kama focal person kwa hivi vyuo vikuu; vinginevyo itaendelea kuwa kiinimacho na danganya toto, kwani mtu anahangaika kweli hadi kufikia maamuzi yasiyosawa (hasa kwa watoto wa kike) kutokana na ugumu tu wa kuishi chuoni.
 
kweli jamani watu wa TEKU niko nao hapa wananambia hawajapata hela yao ya field na field karibu iniisha!
source; wanachuo wa teku mbeya!

hayo majanga sasa naanza kupata wasi wasi
 

sijakuelewa vizuri mkuu
 
Mi nadhani apo kesi sio private au government coleges swala ni management ya chuo husika cz kesi za kuchelewa kupewa pesa kote huwa zinajitokeza.
 
we dogo umesh@som@ university ipi wewe!? K@@ kimy@ ujui kitu un@t@k@ ufit fit tu huku uwezo wko w@ kufikiri ni mdogo, wewe mw@limu wewe ni mjing@ s@n@...

Acha utoto na wewe hi @ ndio nini..balaa hili..haupo fb hapa
 
we dogo umesh@som@ university ipi wewe!? K@@ kimy@ ujui kitu un@t@k@ ufit fit tu huku uwezo wko w@ kufikiri ni mdogo, wewe mw@limu wewe ni mjing@ s@n@...

sijakusoma vile ulichokua unamaanisha 666 chata
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…