Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Wana jf naomba tujadili hili suala kwa kina nimekuwa nikisikia kuwa vyuo vikuu vya private vinawanyanyasa sana wanafunzi wao kupata stahiki zao
hasahasa pesa zao walizokopeshwa na bodi ya mikopo kwa kucheleweshwa kupewa wahusika wakuu au kunyimwa kabisa mfano pesa za field .!
je na vyuo vya serikali hali ni hiyo?
nawasilisha.
hasahasa pesa zao walizokopeshwa na bodi ya mikopo kwa kucheleweshwa kupewa wahusika wakuu au kunyimwa kabisa mfano pesa za field .!
je na vyuo vya serikali hali ni hiyo?
nawasilisha.