Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mwingine wenye hela wote hawakeshagi kanisani ila sisi mwenzangu na mie sasa ibada zote upoLakn mbna tunashuhudia hao wanaoenda against nature wakineemeka ? Mfano mafisadi weng wana maisha ya next levo yaan wanaenjoy maisha to the maxmum,,, how nature deals with such situations?
RC wa mkoa gani mbona hatukufahamu
mm n RC hata hivyo
Kuna matendo ya utashi ya nature na yale ya ufahamu wetu jua kupanga na kupangua mkuu!.Lakn mbna tunashuhudia hao wanaoenda against nature wakineemeka ? Mfano mafisadi weng wana maisha ya next levo yaan wanaenjoy maisha to the maxmum,,, how nature deals with such situations?
Imani ni kuwa na uhakika kwa mambo ya mbeleniImani tunaishi kwa imani maisha yetu hadi kaburin ni mwendo wa imani tu bila ya kuwa na uhakika
Ukisoma system ya mwili wa binadamu inavyofanya kazi hakuna roho. System ya mwili ni inafanywa na organs zinazotegemeana .kwa hiyo organs ambazo ni vital zinapofeli au inapofeli ndo system ya mwili inacolapse na mtu anakufa. Vital organs ndo msingi wa maisha ya mwanadamu. Moyo ukifail ndo mwisho maana moyo unasukuma damu kwenda kwa mwili na kwenda kwenye mapafu ili damu isafishwe huko. Damu ndo inabeba nutrients na Oxygen kuufanya mwili uendelee kuishi.kufa hakuepukiki mzungu na ujanja wake wote amechemka kuzuia kifo decomposition sawa na roho nayo ina decompose pia??
Huu ulaghai hatukubali kuuona tena 2022Ukifa hujui Kama unekufa una-transform na kuingia katika ulimwengu mwingine.
Uhakika ni kuwa Maisha baada ya kifo yapo Ila yapoje hakuna ajuaye.
Ni ishu ya ku-transformation
kufa hakuepukiki mzungu na ujanja wake wote amechemka kuzuia kifo decomposition sawa na roho nayo ina decompose pia??
Kuweka kumbukumbu sawa wewe ni mkristo bilashakaIshi na hii kauli,
"Ni heri kuamini Mungu yupo ili ata kama ukifa na usipate nafasi ya kukutana nae fresh tu inakua imeisha iyo.
Kuliko usiamini Mungu yupo then ukafa ukaenda kumkuta yupo."
"Binafsi naamini kuna maisha ya uzima wa milele, baada ya huu mwili nilionao hapa duniani kufa."
Imani ni bahati nasibuImani ni kuwa na uhakika kwa mambo ya mbeleni
Uko sahihi mkuu, maisha Baada ya kifo yapo sehemu mbili,kwa wenye Dhambi huenda kusubiri hukumu,kwa watakatifu huenda Peponi, yaani sehemu nzuri mno kuliko sehemu yoyote Duniani.Ukifa hujui Kama unekufa una-transform na kuingia katika ulimwengu mwingine.
Uhakika ni kuwa Maisha baada ya kifo yapo Ila yapoje hakuna ajuaye.
Ni ishu ya ku-transformation
Habari wanazengo...
Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.
Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Ni fumbo kwa wapagani pekee,wacha Mungu wame relaxhili fumbo zito sana
Ndo unavyojiliwaza hivyo au siyo....Lakini unasahau kabisa kwamba kabla ya hapo wewe HUKUWEPO na HUKUJULIKANA KABISA KAMA UTAKUWEPO ghafla ulishtukia tu UPO na UKAWEPO BILA RIDHAA YAKO,hivi huyo aliyekufanya UWEPO akakutengenezea hizo system za kustaajabisha na zinazoshangaza kama hzo na tena kama ulivyosema zinafanya kazi kwa kushirikiana bila kukosea,na baadhi huwa zinafanya kazi bila ridhaa yako ikiwemo MOYO au MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA MWILINI,yan kazi yote hiyo kubwa aliyoifanya awe basi tu amekuleta tu duniani hapa kuja kucheza cheza tu kupoteza muda kisha ufe akuzime tu kama taa usiwake tena? Kwa thamani yote hiyo ya hzo syatems ulizozitaja ipitee kizembe zembe tu ufe tu kama mzoga iwe imeisha eti asikurudishe tena? Kirahisi rahisi tu....Umeishi muda flan hv kisha huyo Mtengenezaji hizo SYSTEMS akaamua kuzi SHOOT DOWN(kufa) bila wewe kupenda,Hivi HUYO kwa ujuzi mkubwa wa kushangaza kama hivyo ashindwe kweli KUKUWASHA (kuhuisha)ILI UWAKE TENA KWA MFUMO MWINGINE bila ridhaa yako?Ukisoma system ya mwili wa binadamu inavyofanya kazi hakuna roho. System ya mwili ni inafanywa na organs zinazotegemeana .kwa hiyo organs ambazo ni vital zinapofeli au inapofeli ndo system ya mwili inacolapse na mtu anakufa. Vital organs ndo msingi wa maisha ya mwanadamu. Moyo ukifail ndo mwisho maana moyo unasukuma damu kwenda kwa mwili na kwenda kwenye mapafu ili damu isafishwe huko. Damu ndo inabeba nutrients na Oxygen kuufanya mwili uendelee kuishi.
It's simple if you believe.hii kitu imefumbwa sana na wanaojua hii siri wanakula maisha sana