Hivi ni kweli kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa kisheria ikiwa itathibitika ahadi iliwekwa mtu akiwa na umri wa miaka 18 au zaidi?

Hivi ni kweli kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa kisheria ikiwa itathibitika ahadi iliwekwa mtu akiwa na umri wa miaka 18 au zaidi?

JaxenDL

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2022
Posts
221
Reaction score
495
Kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa linaloweza kuchukuliwa hatua chini ya kifungu cha 69 na 70 cha Sheria ya Ndoa (Sura ya 29 R.E 2019). Ikiwa mlalamikaji atathibitisha kuwa aliyekiuka ahadi alikuwa na umri wa miaka 18 au zaidi wakati alipoweka ahadi hiyo.

704E9B6F-025D-4DF1-B26D-6A0027EB7397.jpeg
 
Ni
kama sio picha ya akili mnemba aweke source
Mf. Sheria ya ndoa ya 2003 ibara ya 12 kifungu (a)
mekutana nayo sehemu, nahitaji kufahamu pia kama ni kweli.
 
kama sio picha ya akili mnemba aweke source
Mf. Sheria ya ndoa ya 2003 ibara ya 12 kifungu (a)
Kama ni kweli AI basi na akili zake zitakuwa ni mnemba lakini kama sio AI basi akili zako ni mnemba
 
Back
Top Bottom