Hivi ni kweli kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa kisheria ikiwa itathibitika ahadi iliwekwa mtu akiwa na umri wa miaka 18 au zaidi?

Hivi ni kweli kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa kisheria ikiwa itathibitika ahadi iliwekwa mtu akiwa na umri wa miaka 18 au zaidi?

Sio kosa la jinai. Yaani hutashtakiwa kwa lengo la kupewa adhabu. Isipokuwa yule uliyemuahidi anaweza kufungua mashtaka ya kukudai fidia. Fidia anazoweza kupata ni zile ambazo anaweza kuthibitisha kuwa alipata hasara kutokana na kuamini ahadi yako. Kwa mfano alimlipa MC GaraB kwa ajili ya sendoff, alinunua suti ya gharama, alikulipia ada akiamini utakuwa mke wake n.k.
 
Sio kosa la jinai. Yaani hutashtakiwa kwa lengo la kupewa adhabu. Isipokuwa yule uliyemuahidi anaweza kufungua mashtaka ya kukudai fidia. Fidia anazoweza kupata ni zile ambazo anaweza kuthibitisha kuwa alipata hasara kutokana na kuamini ahadi yako. Kwa mfano alimlipa MC GaraB kwa ajili ya sendoff, alinunua suti ya gharama, alikulipia ada akiamini utakuwa mke wake n.k.
Asante kwa kufafanua msomi.
 
Kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa linaloweza kuchukuliwa hatua chini ya kifungu cha 69 na 70 cha Sheria ya Ndoa (Sura ya 29 R.E 2019). Ikiwa mlalamikaji atathibitisha kuwa aliyekiuka ahadi alikuwa na umri wa miaka 18 au zaidi wakati alipoweka ahadi hiyo.

Duh 🙄🙄
 
Sio kosa la jinai. Yaani hutashtakiwa kwa lengo la kupewa adhabu. Isipokuwa yule uliyemuahidi anaweza kufungua mashtaka ya kukudai fidia. Fidia anazoweza kupata ni zile ambazo anaweza kuthibitisha kuwa alipata hasara kutokana na kuamini ahadi yako. Kwa mfano alimlipa MC GaraB kwa ajili ya sendoff, alinunua suti ya gharama, alikulipia ada akiamini utakuwa mke wake n.k.
Shukrani kwa muongozo mkuu
 
Back
Top Bottom