Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?


Hapa inaonyesha hata wewe ni msomi!
 

Elimu ni nin?
 

wewe ulishawahi kutaja elimu yako humu? au ndiyo kujiskia mnyonge kila unapoona watu wanaccomment? usiogope kijana, humu kuna watu wa kila namna na kila ngazi ya elimu wapo humu kuanzia PhD mpaka sisi tulioishia darasa la saba tukafeli tupo pia tunajichanganya nanyi wasomi! USIJITIE UWOGA BURE!
 
Hapa inaonyesha hata wewe ni msomi!

Mimi si msomi, mimi napenda kujua na kujifunza kila siku ikiwezekana kutoka kwa wahusika..... inapotokea najifunza vitu vinavyopingana sipendi sana kupata kutoka kwa mtu wa tatu bali mhusika.
MFANO:
1. Unapotaka kujifunza yahusuyo CHADEMA, kisha ukaenda LUMUMBA hapo hutapata kujua
2. Unapotaka kujifunza ukristo kisha unaenda kwa IMAN PETRO/MAGEZI (mhadhiri wa kiislam ktk kulingania dini) yeye ndo akufundishe asili, mila, tamaduni, miiko, mbingu, n.k Sidhani kama utapata vionjo vya ukristo. Na upatapo kuujua uislam vyema kisha ukamfata MCH. MTIKILA wewe msaka taarifa ndo utakuwa na matatizo
3. Unapohitaji kujua kiundani na ukweli habari za Tanzania halafu unasoma magazeti, blog za Rwanda....(sina la kuchangia)
Pata taarifa kutoka kwa wahusika
 
ukizaliwa mjini tayari ni degree shule tunafata gamba
 
Madegreee ya nn kuwa na pesa watakuita wakupe udoctor kama mengiii
 
nna wasiwasi kama ulifanya research ya kutosha kabla hujaingia mitamboni.
Nadhani kama ulikuwa unataka majibu tu basi ushayapata.
Now you know
 
Sio kweli lakini wengi wamesoma, sio rahisi kumkuta mtu amefika lasaba anaendelea kuifurahia jamii forum, bila ya kua na elimu utaikimbia mwenyewe hii forum
 
Ukijiunga jamii forums tu wewe una degree ya u-great thinker sasa kazi inabaki kwako tu kuutendea haki huo u- great thinker
 
Kama utawapima wabongo kwa degree bsi umepotea maana tumeona mpka Professors wanaongea pumba tupu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…