Mbona mimi sijakimbia mkuu? Elimu muda mwingine ni ujinga tu, Mchukue Prof ambae yupo Dar, mchukue na kijana toka Mtwara au sehemu yoyote njee ya Dar. Kisha wafungie na Prof kaliakoo weka wigo wanyang'anye mawasiliano, tena kijana wa miaka saba. Wape miaka mitatu kama Prof hamjasafirisha kwenda kuzika sijui. Kama kisukari ndio kitaanza hapo, kama presha itaanzia hapo, muangalie kijana yupo safi na kaishakuwa msaada mkubwa katika familia.. Nina hakika asilimia kubwa wengi wanasomea kuwa wajinga, ndio maana wasomi wote huwa watwana kwa wasio wasomi, na mifano ipo mingi, mmoja ni mwenye team ya Chelsia, bongo sitawataja kwa sababu maalum, hivyo wafikirie wewe mwenyewe ambao hawajasoma na wanaperekewa mpaka vyeti fake..na wasomi wa aina zote..
sijakuelewa mantiki yako, yaani unamaanisha bora kua huna elimu kuliko kua nayo?
NB: hakuna Elimu nzuri kama ya kujitambua, Mtu kakaa darasani kwa time table miaka kibao cha ajabu na cha kusikitisha, hajui kwenda na muda hapo kuna Elimu kweli? Tusitaniane jamani!!