Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

Sio kweli lakini wengi wamesoma, sio rahisi kumkuta mtu amefika lasaba anaendelea kuifurahia jamii forum, bila ya kua na elimu utaikimbia mwenyewe hii forum
Mbona mimi nimeishia la7 na nina enjoy Jf?
 
Mbona mimi nimeishia la7 na nina enjoy Jf?

inawezekana wakawemo, ila sio wengi miongoni mwao. Nikipiga story na walioniacha kidatu wakenda kwenye maisha, basi most of them nkiwatajia neno jf hawaelewi. Ila wale walioendelea wengi ukiwatajia tu wanajuaijapokua sio member
 
Mmmh! Kuumbe! hadi huyu babu kijana Asprin naye anakadegree yeleuwii! Wacha nami niende shulee...
Mi nlikapatia pale Makerere yunivasite. Wakati huo ndio kachuo kakuu pekee east africa ya afrika ya mashariki.
 
Mimi nimeishia kidato cha pili niliacha baada ya kuniambia someni ili muwe na maisha mazuri wakati yeye mwenyewe ni tofauti...sasa hivi ndiyo nimeanza QT ili nipate japo ukuu wa wilaya maana nimesikia jamaa anateua wasomi tu.
 
Wengine tuna vyeti vya kuzaliwa na vya ndoa tu.
 
Mie nina certificate[emoji173]
 
Ukwelii n kwmbaa wanaa JF ndyoo tunaa degree lakn hii yaa kwtu ni unique jaman....n shdaaa
 
Hizo zote mbwembwe,.,.,.,., maisha upande wako unaenda sawia ipasavyo,. Kama upo kwenye kundi la wale wasiopata lishe na umegraduate la 7, f4, f6, degree, phd.. ndgu yangu choma vyeti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…