Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

Aha ha haa la saba B hapa karibu tafadhali.!
 
Lazima iniue, ya nini mtusimangie midigrii?

Kwanza mie shida na digrii, waowaji wengi wanakuwa intimidated na wanawake wenye digrii, hasa wasonazo.

inferiority complex itakuuwa.... mwenzio kataja degree.... sasa kama VETA wanatoa degree utueleze
 

Infirioriti Kompleksi...!
 
Hahaha pole mwaya. Utajitambua soon, look forward to the lights at the end of the tunnel.

nimeanza mdogo mdogo, really taking my time. Ila ntachange mind soon, nataka nimfuate Jerrymsigwa huko mbinguni alipo
kile chuo umemaliza? Au ukiahirisha? Mie hata tu kuanza nimeahirisha, sijitambui.
 
Last edited by a moderator:

mbona mi husema wazi nimemaliza LY.
 
Na kweli, hizo hazihitaji haraka, mdogomdogo tu.

Nasubiri kwa hamu aisee, muda ufike.nianze Veta yangu.

Jerrymsigwa atakupoteza, mbinguni mbali.

Hahaha pole mwaya. Utajitambua soon, look forward the lightsat the end of the tunnel.

nimeanza mdogo mdogo, really taking my time. Ila ntachange mind soon, nataka nimfuate Jerrymsigwa huko mbinguni alipo
 
Last edited by a moderator:
Uwe Na Degree Sijui Master Wengine Hajui Hayo Ila TULIO FELI FORM 4 NDIO MAKING MAKER MTAANI MWISHO WA SIKU TUTAONANA UZEENI.
 
Kwani wa Diploma hawapitii Vyuoni? Weka vizuri uzi wako....
 
Wapi profesa Ibrahim Likowa aka mpiga msuli seneta01 alikunyosha!
 
Ona sasa, Rose anazo 3 na wakati hajakanyaga chuo. Mie ntakupiku kimazingara, nna mganga wangu anatibu akili za darasani.

Hivi rose mhando alipewagwa honorary phd na university gani ile? Ukipata digrii moja mie nagaiwa ya tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…