Hivi ni kweli kuwa na mwandiko mbaya ni ishara ya kuwa na akili nyingi?

Hivi ni kweli kuwa na mwandiko mbaya ni ishara ya kuwa na akili nyingi?

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Juzi kuna barua nilipeleka kwa kiongozi fulani ili atie sahihi yake;

kiukweli kila nikitizama mwandiko aliutumia hapa, naona ni kama amechafua barua yangu[emoji16]

yaani kaandika shagarabagala kama vile mtu anajifunza kuandika kichina! (ningekuwa mwl ningesema huu ni uchafu)

ndipo nimekumbuka nilisoma sehemu fulani kwamba watu wenye miandiko mibaya wana akili sana.

hivi kuna ukweli hapo au ni kujifariji?
 
Mimi muandiko wangu mbaya haijapata kutokea na kichwani zumbukukuku ulimwengu uko huku,, hizo habari za sijui ukiwa na muandiko mbaya basi utakuwa kipanga kichwani hizo ni story za maskani kwa babu kidembwe muuza kimti pombe maarufu mjini,,
 
Mara nyingi inakua hivyo yani unawaza haraka kuliko speed ya mwili lakini kuna wengine wanamiandiko mibaya na Zero Brain zamani tulisema wanaandika majongoo
 
Mara nyingi inakua hivyo yani unawaza haraka kuliko speed ya mwili lakini kuna wengine wanamiandiko mibaya na Zero Brain zamani tulisema wanaandika majongoo
Mimi muandiko wangu mbaya haijapata kutokea na kichwani zumbukukuku ulimwengu uko huku,, hizo habari za sijui ukiwa na muandiko mbaya basi utakuwa kipanga kichwani hizo ni story za maskani kwa babu kidembwe muuza kimti pombe maarufu mjini,,
[emoji23]
 
Back
Top Bottom