Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nilikuwa mjini Dar nikaona wageni / Wazungu sijui na waNigeria? wanahitaji huduma ya kupima korona
Wakawa wanaulizia wapi wanaweza kubadili Dola wapate shilingi kwa kuwa eti pima covidi inahitaji shilingi pekee.
Nikajiuliza
Hivi ni kweli kuwa wizara ya Afya haihitaji Dola?
Yaani dola ibadilishwe iwe shilingi mtu apime covid halafu wakati wa kuagiza dawa nje, Shilingi ibadilishwe tena kuwa Dola?
Something is not right here
Wakawa wanaulizia wapi wanaweza kubadili Dola wapate shilingi kwa kuwa eti pima covidi inahitaji shilingi pekee.
Nikajiuliza
Hivi ni kweli kuwa wizara ya Afya haihitaji Dola?
Yaani dola ibadilishwe iwe shilingi mtu apime covid halafu wakati wa kuagiza dawa nje, Shilingi ibadilishwe tena kuwa Dola?
Something is not right here