Hivi ni kweli kwamba Adamu alishindwa kumuhudumia Hawa (Eva) mpaka pale Joka Shetani alipomtoa lunch?

Hivi ni kweli kwamba Adamu alishindwa kumuhudumia Hawa (Eva) mpaka pale Joka Shetani alipomtoa lunch?

Ambivert88

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
3,609
Reaction score
6,388
Habari za Majukumu wakuu. Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.

Ningeomba niende moja kwa moja kwenye hii mada na nitaielezea kwa ufupi.

Ni kisa nilichokutana nacho katika chombezo la hapa na pale na mwanamama au niseme mwanadada wa makamo ndipo katika ucheleweshwaji wa huduma akanipa kamsemo akisema:

"Adam alifeli pale bustanini hedeni kwa kushindwa kumuhudumia Hawa (Eva) mpaka pale alipotokea Joka Shetani katika pitapita za huku na kule Hawa au Eva akakutana na Joka Shetani na Shetani Ibilisi bila hiyana akamtoa Eva lunch yaan chakula cha mchana huku Adam akiwa hajui chochote kinachoendele"

Na akaendelea kuniambia:

"kwa kua Hawa (Eva) hakua mchoyo alibeba kile kiasi cha lunch yaan chakula cha mchana alichokipata kwa Joka Shetani akampelekea na Adam ili ale inamaana Hawa (Eva) alibeba jukumu la kumuhudumia Adam huku Adam akiwa hajui jukumu lake pale bustanini ni kumuhudumia Hawa (Eva)."

Naombeni maelezo huyu alieniambia haya alikua yupo sahihi au amekengeuka?

Ni kweli Adam alikua anakwepa majukumu ndio maana Hawa akaenda kutolewa lunch na Joka Shetani Ibilisi?
 
😂😂
 

Attachments

  • 1728645277939.jpg
    1728645277939.jpg
    315.5 KB · Views: 6
Kwa sababu adam na hawa hawapo basi shetani ndie anaweza kutuelezea kuhusu hili jambo, eti Mr Devil kuna ukweli kuhusu hili suala?
 
Habari za Majukumu wakuu. Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.

Ningeomba niende moja kwa moja kwenye hii mada na nitaielezea kwa ufupi.

Ni kisa nilichokutana nacho katika chombezo la hapa na pale na mwanamama au niseme mwanadada wa makamo ndipo katika ucheleweshwaji wa huduma akanipa kamsemo akisema:

"Adam alifeli pale bustanini hedeni kwa kushindwa kumuhudumia Hawa (Eva) mpaka pale alipotokea Joka Shetani katika pitapita za huku na kule Hawa au Eva akakutana na Joka Shetani na Shetani Ibilisi bila hiyana akamtoa Eva lunch yaan chakula cha mchana huku Adam akiwa hajui chochote kinachoendele"

Na akaendelea kuniambia:

"kwa kua Hawa (Eva) hakua mchoyo alibeba kile kiasi cha lunch yaan chakula cha mchana alichokipata kwa Joka Shetani akampelekea na Adam ili ale inamaana Hawa (Eva) alibeba jukumu la kumuhudumia Adam huku Adam akiwa hajui jukumu lake pale bustanini ni kumuhudumia Hawa (Eva)."

Naombeni maelezo huyu alieniambia haya alikua yupo sahihi au amekengeuka?

Ni kweli Adam alikua anakwepa majukumu ndio maana Hawa akaenda kutolewa lunch na Joka Shetani Ibilisi?
Na shetan bila hiana, Akamgonga kifo cha mende chali,, bidada hawa kwakupenda vya buree
 
Back
Top Bottom