Hivi ni kweli "kwenda chumvini" kunasababisha meno kuuma?

Hivi ni kweli "kwenda chumvini" kunasababisha meno kuuma?

Kwa muda wa takribani cku 5 zilizopita hadi sasa ninasumbuliwa na maumivu ya jino ila baada ya kukutana na doctor m1 nikaelezwa kuwa 1wapo ya matatizo ya maumivu ya meno ni kwenda chumvini haswa ikiwa mwanamke anayefanyiwa hivyo ni mchafu sehemu husika kiasi kwamba anakuwa na bacteria ambao hubaki kwenye mdomo wa mtendaji na kuanza kutoboa meno.Naomba madentist proffesionals mnisaidie kunielimisha kama kuna ukweli wowote juu ya hili
Chumvini ni wapi uko?
 
Tiba rahiiisi, shuka kidogo kwenye 0655 nyonya pia meno yatapona Mkuu…
 
Hakuna madhara yeyote hapo brother.

Ushauri wangu;
Uwe unaangalia na kuzingatia usafi wa mhusika.

Mimi ni Team Captain wa Uvinza FC.

Usitoroke kambini.
 
" Bora hako ka ugonjwa ka meno tu,Siku ukikutana na MAMBA humo topeni ndo utasimulia vizuri"
Kwa muda wa takribani cku 5 zilizopita hadi sasa ninasumbuliwa na maumivu ya jino ila baada ya kukutana na doctor m1 nikaelezwa kuwa 1wapo ya matatizo ya maumivu ya meno ni kwenda chumvini haswa ikiwa mwanamke anayefanyiwa hivyo ni mchafu sehemu husika kiasi kwamba anakuwa na bacteria ambao hubaki kwenye mdomo wa mtendaji na kuanza kutoboa meno.Naomba madentist proffesionals mnisaidie kunielimisha kama kuna ukweli wowote juu ya hili
 
Inawezekana mana kufanya hivyo ni Kinyume na maumbile.
Ushoga na Chumvini vyote ni kinyume na maumbili kwa hiyo lazima kuwe na madhara mana maumbile ya mdomo na ulimi hayakuumbwa kwa kazi hiyo.

Hata ukinywa maji kupitia puani utapata madhara mana sio sehemu yake.
 
SIDHANI KWA UCHACHU WA LIMAO YA CHUMVUNI KAMA KUNA BACTERIA ANAWEZA KUISHI HUKO?
 
Back
Top Bottom