Hivi ni kweli machinga Mwanza mwisho mwezi wa sita mwaka huu?

na wewe

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
231
Reaction score
398
Za mda huu wadau wa hapa.
Leo nikiwa sehem na baadhi ya watu tunapiga story.mtu mmoja akasema ni kama amesikia tangazo kuwa machinga Mwanza mwisho ni mwezi wa sita maana serikali ina mpango wa kuanza kupanga mji inavyotaka.
Tafadhari mwenye uelewa zaidi atuambie kuthibitisha.

Wa sukumaland
 
Hilo haliwezekani wakati uchaguzi ni mwakani.....viongozi wa Africa wanajali siasa kuliko maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli kwamba machinga mwisho mwezi wa sita, suala lililopo ni ujenzi wa soko la kisasa litakalojengwa katikati ya mji maeneo ya Tanganyika na soko kuu ( ngolo). Ujenzi utaanza mwezi wa 6 na wafanyabiashara wote wamepewa muda wa kutafuta maeneo ya muda wakati ujenzi ukiendelea , wiki hii wameanza kuandikisha na kuwapiga picha wafanyabiashara ili jengo likiwa tayari waliopo maeneo hayo wapewe kipaumbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Kwa kunielewesha na kutoa ufafanuzi

Wa sukumaland
 
Hao wa Mwanza si machinga bali wamiliki wa maduka madogo yani kuna yule anapanga vitu cha plastic corner ya kuingia hi barabara ya sokoni sijui rwegasore lile ni duka kabisa hakuna hata pa kuweka mguu watembeaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…