na wewe
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 231
- 398
Za mda huu wadau wa hapa.
Leo nikiwa sehem na baadhi ya watu tunapiga story.mtu mmoja akasema ni kama amesikia tangazo kuwa machinga Mwanza mwisho ni mwezi wa sita maana serikali ina mpango wa kuanza kupanga mji inavyotaka.
Tafadhari mwenye uelewa zaidi atuambie kuthibitisha.
Wa sukumaland
Leo nikiwa sehem na baadhi ya watu tunapiga story.mtu mmoja akasema ni kama amesikia tangazo kuwa machinga Mwanza mwisho ni mwezi wa sita maana serikali ina mpango wa kuanza kupanga mji inavyotaka.
Tafadhari mwenye uelewa zaidi atuambie kuthibitisha.
Wa sukumaland