Chrizant Kibogoyo
Senior Member
- Aug 12, 2016
- 159
- 81
Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano umeanza kutuonyesha Watanzania kuwa tunao uwezo wa kujitegemea Kwa kutumia raslimali zetu wenyewe.
Katika siku za karibuni Mfadhili wa Klabu yetu ya Yanga amekuwa akikubwa Na changamoto mbali mbali za kisheria, kiasi cha kushindwa kuendelea kutoa ufadhili Kwa klabu yetu ya Yanga.
Ni ukweli usiopunguka kuwa uongozi umejitahidi sana kutymia raslimali kidogo zilizopatikana kutoka Kwa wadhamini mbali mbali kufanya usajili was wachezaji makini wenye uwezo was kuendelea kutupatia Furaha ya ushindi.
Kukoseka kwa mapato kutoka kwa mfadhili kama ilivyokuwa siku za nyuma kumekuwa na mapungufu ya timu yetu kuanza Ligi Kwa kusuasua kutokana Na wachezaji kukosa ari. Hivi karibuni tumeshuhudia wachezaji waandamizi was Yanga wakionekana mahakama ya Kisutu wakiteta Na aliyekuwa mfadhili wa klabu ya Yanga.
Lakini Yanga ni timu kubwa yenye mamilioni ya wapenzi nchi nzima. Hivi ni kweli uongozi uliopo unashindwa vipi kutumia falsafa Mpya ya "Kujitegemea" inayopigiwa chapuo Na uongozi was Awamu ya Tano Kwa kuwashirikisha mamilioni ya wapenzi wake kuziba pengo LA mapato yaliyokuwa yakitoka Kwa Mfadhili!
Nichukue fursa hii kuuomba uongozi was Yanga kuwa wabunifu, wawazi Na wakweli ili kuweza kufanikiwa kutushirikisha wapenzi kuziba pengo LA mapato yaliyokuwa yakitoka Kwa Mfadhili, ili Furaha yetu mashabiki tuweze kuiendekeza.
Ni i Mani yangu kama uongozi watakuwa wabunifu wapenzi Na mashabiki tutaweza Kupunguza angalau bia,soda,sigara Na mengine kama hayo kwa siku I'll kuichangia timu yetu Kwa lengo LA kuendeleza Furaha yetu ya ushindi.
Ushauri wangu ni kuwa katika hill uongozi was klabu ni lazima uhusishe wataalamu wa fani za "Promotion and Advocacy" ili kuweza kuwafikia, kuwashawishi Na kuwamotisha wapenzi Na Mashabiki kuchangia timu yetu ya Yanga kwa lengo LA kuendeleza Furaha tuipatayo kutokana Na timu yetu kupata ushindi dhidi ya wapinzani.
Katika siku za karibuni Mfadhili wa Klabu yetu ya Yanga amekuwa akikubwa Na changamoto mbali mbali za kisheria, kiasi cha kushindwa kuendelea kutoa ufadhili Kwa klabu yetu ya Yanga.
Ni ukweli usiopunguka kuwa uongozi umejitahidi sana kutymia raslimali kidogo zilizopatikana kutoka Kwa wadhamini mbali mbali kufanya usajili was wachezaji makini wenye uwezo was kuendelea kutupatia Furaha ya ushindi.
Kukoseka kwa mapato kutoka kwa mfadhili kama ilivyokuwa siku za nyuma kumekuwa na mapungufu ya timu yetu kuanza Ligi Kwa kusuasua kutokana Na wachezaji kukosa ari. Hivi karibuni tumeshuhudia wachezaji waandamizi was Yanga wakionekana mahakama ya Kisutu wakiteta Na aliyekuwa mfadhili wa klabu ya Yanga.
Lakini Yanga ni timu kubwa yenye mamilioni ya wapenzi nchi nzima. Hivi ni kweli uongozi uliopo unashindwa vipi kutumia falsafa Mpya ya "Kujitegemea" inayopigiwa chapuo Na uongozi was Awamu ya Tano Kwa kuwashirikisha mamilioni ya wapenzi wake kuziba pengo LA mapato yaliyokuwa yakitoka Kwa Mfadhili!
Nichukue fursa hii kuuomba uongozi was Yanga kuwa wabunifu, wawazi Na wakweli ili kuweza kufanikiwa kutushirikisha wapenzi kuziba pengo LA mapato yaliyokuwa yakitoka Kwa Mfadhili, ili Furaha yetu mashabiki tuweze kuiendekeza.
Ni i Mani yangu kama uongozi watakuwa wabunifu wapenzi Na mashabiki tutaweza Kupunguza angalau bia,soda,sigara Na mengine kama hayo kwa siku I'll kuichangia timu yetu Kwa lengo LA kuendeleza Furaha yetu ya ushindi.
Ushauri wangu ni kuwa katika hill uongozi was klabu ni lazima uhusishe wataalamu wa fani za "Promotion and Advocacy" ili kuweza kuwafikia, kuwashawishi Na kuwamotisha wapenzi Na Mashabiki kuchangia timu yetu ya Yanga kwa lengo LA kuendeleza Furaha tuipatayo kutokana Na timu yetu kupata ushindi dhidi ya wapinzani.