Hivi ni kweli mawazo huleta uhalisia?

Hivi ni kweli mawazo huleta uhalisia?

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
2,044
Reaction score
4,558
Kuna msichana mmoja tulisoma wote nursery na primary! Nilikua nime crush kwake ila sikuwahi mwambia niliogopa itakua noma. Skuli za mission na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Bahati mbaya wakahamia mkoa mwingine.

So fast forward miaka imeenda ila mm nilikua kuna siku nashangaa namuwaza from no where nashangaa tu nimemuwaza! Hata bila sababu! Nikawa nakaushia tu ukizingatia walisha hama na sina namba na hata sidhani kama angenikumbuka. Ila inapita miezi au weeks kadhaa namuwaza tena bila sababu tu kama tunavyokumbukaga vitu vya zamani for no reason.

Mwaka juzi nikaungwa group la primary WhatsApp! Af ukizingatia ilikua imekaribia birthday yangu, so ilivyofika tu nikapostiwa. Watu walikua wamenimiss kinoma hasa mademu, duuh niliwishiwa vyakutosha ila madume mengi yalikaa kimya najua yalikua na jealous🤣 tu.

So baada ya bday kama siku 3 hiv nashangaa dm. Mtoto sijamtambua! Nikamwambia akasema tumesoma wote primary na namba yako nimetoa huko... long story short ni pisi ambayo skutegemea itanitafuta... hatukuwahi ongea, primary na hatukumaliza la saba wote. Ila nikikua nampenda kichizi. Na nilikua naota ndoto sometimes af naamka najilaani kuota ndoto za kijinga na kuuharibu usingizi wangu.

Ukweli nilichanganyikiwa na kuhisi labda ninanguvu zisizo za kawaida... baada ya hilo jambo kutokea.

Je kuna uhalisia wowote kuhusu mawazo ya binadamu kutengeneza uhalisia.? Kunavitu vingi vimeshawahi tokea kwa kuviwaza kwanza baada ya hilo tukio. Najua kuna watu wanaexperience zao pia karibuni.
 
Your thought becomes things

Hakuna MTU ambaye hana hiyo nguvu kila MTU anayo Ila kinachotofautiana ni Kati ya Frequency and vibration



Then take care naona unaishi Sana katika outwardly japo sio mbaya Ila ukibalance you will just being normal
Unamaanisha nini "outwardly"? Na nitabalance vp?
 
Unamaanisha nini "outwardly"? Na nitabalance vp?
OK Good question

Kuna outward na inward

Dunia yako ya ndani huitwa inward, hii hujiushisha na kila kitu Ambacho huendelea katika maisha yako kwa ndani mfano, kufikiri ,hisia n.k

Then kuna outward hii ni dunia ya nje ambayo humtokea MTU ,mfano maisha yako na kila kitu kinachoendelea.


Point yangu hii hapa.

Unaweza kuwa umepata kitu outward Ila unabidi kuelewa vitu vyote huanzia inward ,kazi , mahusiano n.k.

So unapokuwa driven mambo ya nje Sana unakuwa unaua nguvu yako ya ndani na kuanza kukosa vitu chanya.


Nimeona umesema huajawa wishes na rafiki zako au schoolmates wako boys katika Birthday yako.

Badala ya kulalamika unashukuru na kuwashukuru maana siku usiyoijua ndo siku wanaweza kukufanyia jambo positive . Ila hawatofanya ikiwa utawalalamikia na kuwalaumu.


So your thought becomes things unabidi kuwa na positive thoughts 24/7 .
 
Back
Top Bottom