Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Gazeti la mzalendo 15 may 2011. hicho ni chombo kimojawapo kimetoa hiyo habari
Bado unaliamini gazeti la Mzalendo na Uhuru? Hayo ni magazeti ya kufungia maandazi tu.Gazeti la mzalendo 15 may 2011. hicho ni chombo kimojawapo kimetoa hiyo habari
CDM political doctrine: There is only one political GOD in Tanzania, that is WILBROAD and that FREEMAN is his prophet.
Gazeti la mzalendo 15 may 2011. hicho ni chombo kimojawapo kimetoa hiyo habari
Nadhani umesikia vibaya tune vizuri radio yako maana habari zenyewe zilikuwa hivi: Baadhi ya mabenki ya biashara nchini yanaidai serikali mamilioni ya fedha. Serikali ililazimika kukopa ili kulipa mishahara ya waafanyakazi huku majidiliano na Ankle Sam yakiendelea. Hata hivyo Ankle Sam katoa hela aprox Tshs 840 bilioni ambacho ni $80 less kuliko mwaka 2010.
Wana JF.
Kuna habari tumezisikia kupitia kwenye vyombo vya habari hapa Tanzania, kuwa Mwenyikiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakidai chama Sh. 188 milioni. aliongezea kununua vifaa, Bendera, Kanga, Kofia, Fulana, kwa ajili ya uchaguzi Mkuu mwaka 2010.
Na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo anakidai chama Sh. 296 milioni, kwa ajili Helikopta zake zilitumika kwenye kampeni za uchaguzi Mkuu mwaka 2010
Nani lema au naniyec ata yule wa arusha nae anadai milion 45 kukijenga chama arusha,nitawaletea barua yake kwa ushahidi.hawa wakishika serikali watalipana kwanza
Kumbe lowassa anaidai ccm?Are you really a Great Thinker?
Wapi CHADEMA waligawa vitu kama hivyo vyekundu?
Je, wajua CHADEMA walipata ruzuku kiasi gani na wametumia kiasi gani?Binafsi napata wasiwasi na U-Great Thinker wako, unless you are a Great Thinner...
Kwani Lowassa na Rostam wanaidai CCM kiasi gani?